Kwa uchungu mkubwa naandika hapa kuwashauri hawa wanaojiita mastaa....Wema and Idrisa kama mlifanya hivyo mkitafuta Kick kwenye vyombo vya habari mjue ndio tayari mlishajichulia hapo Mungu amewasikia na atambaaa na maigizo yenu mpaka mwisho wa life....Endapo kama ni janja ya Wema ndio imekuingiza hapo akakuaminisha kwamba anaujauzito wako kumbe siyo, Mungu atatambaaa naye hata siku ya mwisho!
Fanyeni yote lakini acheni dhihaka na masuala ya uumbaji, hiyo ni sawa na kumdhihaki Mungu. Na Mungu si wa maigizo!