mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Ingawa namzidi Mama kama miaka 10 nashawishika kusema Rais Samia shikamoo. You are doing the right thing!Foka Foka Imeenda na mwendazake...Kiongozi ni Kukubali kushauriwa nadhani aliyeendazake Kushauriwa ilikuwa kama kutukanwa..