mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Ingawa namzidi Mama kama miaka 10 nashawishika kusema Rais Samia shikamoo. You are doing the right thing!Foka Foka Imeenda na mwendazake...Kiongozi ni Kukubali kushauriwa nadhani aliyeendazake Kushauriwa ilikuwa kama kutukanwa..
Ni kweli kabisa. Mimi nimezungumzia kinadharia i.e. kama angekuwa amechaguliwa kihalaliWananchi gani waliomchagua jiwe?Jiwe alijiweka mwenyewe madarakani!
Ni kweli kabisa. Mimi nimezungumzia kinadharia i.e. kama angekuwa amechaguliwa kihalali
Wahutu wana asili ya roho mbaya sana na visasi.Yes, she's different.
Japo ni CCM ile ile na mtu humezwa na mfumo iwe mbaya au mzuri, lakini at least huyu "kitabia" anaonesha amelelewa vizuri, kuheshimu utu wa mtu.
Mwendazake Magufuli alikuwa ni tatizo kuanzia kwenye culture, malezi mabovu na kwa sababu hiyo kutuathiri sisi sote kama taifa.
It's better that he has gone forever.
Huyo dada kila akiwa kwenye heat lazima amtaje Mbowe,msamehe bure ukware unamsumbuaWewe Etwege usimlishe Kamanda Mbowe maneno. Weka clip hapa vinginevyo ni ugoro tu wa Lumumba! Narudia tena weka clip.