kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
TEC na FPCT Ni vituo vya kidini ya kikristu vilivyoko eneo la Kurasini, Dar es Salaam. Kwasasa vituo hivi vimezunguukwa na shughuli mbalimbali za kiuchumi wa bandari kuu ya Tanzania. Viko katikati ya matenki ya mafuta na makontena.
Uwepo wa taasisi hizi katikati ya shughuli za kiuchumi kunaipunja bandari, hivyo kusababisha usumbufu mkubwa kwa malori yanayohitaji kuchukua na kupeleka bidhaa bandarini na kusababisha kuegesha njiani na kandokando mwa barabara.
Ukiviondoa vituo hivi bandari itapata nafasi kubwa ya kuweka mizigo na malori kuegesha kwa urahisi.
Swali Ni kwanini taasisi hizi hazikuondoshwa wakati wengine wanaondoshwa Kurasini kupisha upanuzi wa bandari?
Je, taasisi hizi hazioni kuwa ziko kwenye eneo la kimkakati kitaifa?
Je taasisi hizi hazioni kuwa ziko kwenye eneo hatarishi kwao (ajali za Moto, vurugu na kelele)
Uwepo wa taasisi hizi katikati ya shughuli za kiuchumi kunaipunja bandari, hivyo kusababisha usumbufu mkubwa kwa malori yanayohitaji kuchukua na kupeleka bidhaa bandarini na kusababisha kuegesha njiani na kandokando mwa barabara.
Ukiviondoa vituo hivi bandari itapata nafasi kubwa ya kuweka mizigo na malori kuegesha kwa urahisi.
Swali Ni kwanini taasisi hizi hazikuondoshwa wakati wengine wanaondoshwa Kurasini kupisha upanuzi wa bandari?
Je, taasisi hizi hazioni kuwa ziko kwenye eneo la kimkakati kitaifa?
Je taasisi hizi hazioni kuwa ziko kwenye eneo hatarishi kwao (ajali za Moto, vurugu na kelele)