Kwa maoni haya ya Raia wa Afrika Kusini, bora Zuma asingetia mguu Tanzania

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Kama wanafika hatua ya kutudharau hivi basi hata ziara ya huyu Raid wao haikuwa na maaana tena kwetu
 
Yaani waTanzania bana...juzi kati tumekuwa tukimsema Magufuli eti anaalika viongozi uchwara..Ethiopia, Vitnam, DRC nk....kwamba aalike viongozi wa 'maana'. wa huko Mambelez kwa akina Lemutuz!

Sasa kama hao wananchi na wenyewe waliona maoni yetu kwenye mitandao yaliyokuwa yanakashifu viongozi wao...walijisikiaje??? The same way unavyojisikia kwa hayo maoni!

if you want to be loved, love others.
 
Mkuu sampling ya mtu mmoja? What if ni mdogo wake Botha.... kaburu....
 
Katika watu ambao ni wabaguzi ni wasouth Africa hawataki kujua jinsi gani tumejitoa juu yao na wanasema haikuwa lazima nasi kufanya Yale yote!
 
Hana timamu huyo. Angalia resources zlzopo Tz ambazo wao ndo wamekuja kuzifanyia uwekezaji. Ana ufunyu wa uelewa mbona Obama alikuja jiulze Tz na USA nan yupo juu? Mbafu zako tahla huyo
 
Hana timamu huyo. Angalia resources zlzopo Tz ambazo wao ndo wamekuja kuzifanyia uwekezaji. Ana ufunyu wa uelewa mbona Obama alikuja jiulze Tz na USA nan yupo juu? Mbafu zako tahla huyo
Hivi wewe upeo wa kufikiri unaishia kwenye miguu yako au ?unaandika kama mtoto anayejifunza kuongea
 
Zuma hana credibility ya kuingia deal na nchi yoyote inayo "matter". The guy is a timing bomb...
 
Kweli Nyani haoni k***ndule Tumesahau hata sisi alipoenda Rwanda tuliongea vitu hivyo hivyo na mara zote tunaponda viongozi wanaokuja kufanya ziara.
 
Hii yote Sababu ya Bashite. Bashite ujue unatutia laana nchi hii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…