duuhhh! wametisha
Mama weeeeeeeeeeeeeeeeee
Hii yote Sababu ya Bashite. Bashite ujue unatutia laana nchi hii!!
Indeed we are!
Lakini kuna kaukweli ndani yake!
Kwa kweli kuja tanzania ni kupoteza
Kasema BrendanKumbe ni Upuuzi Uliotoaka Kwa Changudoa Mange Kimambi?
View attachment 508624
Akili yako fupi kama hiyo pua hapo mbele yako...Unajua South Africa Ina Watu wangapi? Ngoja nikuambie siri yeye anawakilisha
1/55,369,570 au 0.0000018060β
Majority hawamtakiUnajua South Africa Ina Watu wangapi? Ngoja nikuambie siri yeye anawakilisha
1/55,369,570 au 0.0000018060β
Zuma holds number one position Africa kwa marais wasio na elimuYaani waTanzania bana...juzi kati tumekuwa tukimsema Magufuli eti anaalika viongozi uchwara..Ethiopia, Vitnam, DRC nk....kwamba aalike viongozi wa 'maana'. wa huko Mambelez kwa akina Lemutuz!
Sasa kama hao wananchi na wenyewe waliona maoni yetu kwenye mitandao yaliyokuwa yanakashifu viongozi wao...walijisikiaje??? The same way unavyojisikia kwa hayo maoni!
if you want to be loved, love others.
Licha ya hayo, huwa hawafundishwi historia ya ukombozi wa taifa laoDuh hao wanaodharau watakuwa wamezaliwa baada ya SA kupata Uhuru na hawaelewi walikotoka na mchango wa Tz ktk ukombozi wa mababu zao!!
Ingekuwa kasifiwa mtu yasingekuwa maoni ya mtu mmoja. Unafiki utawaotesha kibiongoYaani oni la mtu mmoja unachukulia kama maoni ya nchi nzima,hivi hizi shule tulienda kusomea nn?
Achana na stori za uke wenza wewe, kama nyinyi ndio mnakufa vidole vimenyooka kwa watoto wa wenzenu..."mimi ndio nilimsomesha yule" so what?Duh hao wanaodharau watakuwa wamezaliwa baada ya SA kupata Uhuru na hawaelewi walikotoka na mchango wa Tz ktk ukombozi wa mababu zao!!
Jibu hoja kwa hoja na si povu!!Achana na stori za uke wenza wewe, kama nyinyi ndio mnakufa vidole vimenyooka kwa watoto wa wenzenu..."mimi ndio nilimsomesha yule" so what?
Vijisababu vya kale haviondoi ukweli kuwa we are considered insignificant.
Yupo pale kuwakilisha chamambona maoni ya polepole huwa mnayaita maoni ya chama?
Huyo ni mtu mmoja tena kaburu, iweje abebe mawazo ya wa SA Wote?Kama wanafika hatua ya kutudharau hivi basi hata ziara ya huyu Raid wao haikuwa na maaana tena kwetuView attachment 508585