Hayo yote ni majina ya course moja.. Majina yanatofautiana from country to country but its the same course with the same course contents.. Mleta mada alizitofautisha which ain't right...Tudadavulie kama hutojali
Nimeona Building Economics Ardhi wanataka applicant awe amefaulu hesabu na somo jengine lolote lakini Quantity surveying UDSM wanataka applicant awe amefaulu hesabu na physics tu...nikajua contents zitakuwa tofauti au huyu wa Quantity surveying ana fundishwa na some practices na building constructionHayo yote ni majina ya course moja.. Majina yanatofautiana from country to country but its the same course with the same course contents.. Mleta mada alizitofautisha which ain't right...
kila la kheri....Sijaelewa mantiki ya unachopinga
mtoa mada ameandika program ya maritime transportation kwa aliesoma economics ni nzuri
Unachopinga ni nin?kwamba aliesoma economics hawezi kusoma maritime transportation?
Asante sanaAhsante kwa kutujuza kuwa umesoma "P.S".
Hongera.
PamojaUmenena tupo pamoja mkuu
Its the same course contents.. walimu wa quantity surveying UDSM wanatoka ARUNimeona Building Economics Ardhi wanataka applicant awe amefaulu hesabu na somo jengine lolote lakini Quantity surveying UDSM wanataka applicant awe amefaulu hesabu na physics tu...nikajua contents zitakuwa tofauti au huyu wa Quantity surveying ana fundishwa na some practices na building construction
Top 5 Degree programs kwa Mchanganuo ufuatao wa masomo
Waliosoma Economics(EGM,HGE,ECA)
1.Business Information Technology
2.Agricultural Economics and Agribusiness
3.Accountacy and Finance
4.Agricultural and Natural Resources Economics and Business
5.Maritime Transportation
Future hadii ww jamaaa...wachaa maneno ya siasa...watu wamemliza wako mtaani wanakula vumbi afuu wewe unakuja hapa unazngumzia future....watu wakae jobless waisubilie hyo future yako...????...Umesahau BSc in Oil and Gas engeneering. Hii ina future nzuri sababu kuna migodi kibao ya kuchimba mafuta na gesi iko mbioni kuanzishwa
Wenye hela wana siasaTop 5 Degree programs kwa Mchanganuo ufuatao wa masomo
Waliosoma Physics na Mathematics(PCM,PGM)
1.Electrical Engineering
2.Civil and Irrigation Engineering
3.Mechanical Engineering
4.Quantity Surveying
5.Software Engineering
Waliosoma Chemistry na Biology(PCB,CBM,CBG)
1.Medicine
2.Pharmacy
3.Medical Laboratory Sciences
4.Veterinary Medicine
5.Optometry
Waliosoma Mathematics(PCM,PGM,EGM,CBM)
1.Architecture
2. Geomatics
3.Actuarial sciences
4.Building Economics
5.Land Management and Valuation
Waliosoma Economics(EGM,HGE,ECA)
1.Business Information Technology
2.Agricultural Economics and Agribusiness
3.Accountacy and Finance
4.Agricultural and Natural Resources Economics and Business
5.Maritime Transportation
Si kwa Povu hili 😀Future hadii ww jamaaa...wachaa maneno ya siasa...watu wamemliza wako mtaani wanakula vumbi afuu wewe unakuja hapa unazngumzia future....watu wakae jobless waisubilie hyo future yako...????...
Mkuu imeiacha fani muhimu sana; ualimu, kwa masomo yoyote utakayosoma utafit kwenye fani mujarabu ya ualimuTop 5 Degree programs kwa Mchanganuo ufuatao wa masomo
Waliosoma Physics na Mathematics(PCM,PGM)
1.Electrical Engineering
2.Civil and Irrigation Engineering
3.Mechanical Engineering
4.Quantity Surveying
5.Software Engineering
Waliosoma Chemistry na Biology(PCB,CBM,CBG)
1.Medicine
2.Pharmacy
3.Medical Laboratory Sciences
4.Veterinary Medicine
5.Optometry
Waliosoma Mathematics(PCM,PGM,EGM,CBM)
1.Architecture
2. Geomatics
3.Actuarial sciences
4.Building Economics
5.Land Management and Valuation
Waliosoma Economics(EGM,HGE,ECA)
1.Business Information Technology
2.Agricultural Economics and Agribusiness
3.Accountacy and Finance
4.Agricultural and Natural Resources Economics and Business
5.Maritime Transportation
Hizi ni list za kozi zenye strong employments both self and public sasa wewe jichanganye na oil na gas utasimamia vibatari ndo matank ya keroseneUmesahau BSc in Oil and Gas engeneering. Hii ina future nzuri sababu kuna migodi kibao ya kuchimba mafuta na gesi iko mbioni kuanzishwa