Kweli hii ipo sana, mwanaume kipato kikipungua tu, mapenzi hakuna...Japo wapo wachache wenye mapenzi ya kweli.
Haha Edo ndo nini kutuumbua wajameni? Ingawaje kuna ukweli flani mimi nadhani kuna haja ya kuliangalia hili kwa mapana. Kwa mwanamke ambaye ana kazi nzuri, anajiweza halafu nikamsikia akitoa kauli kama hii ya mwanaume suruali wa kazi gani nitajiuliza maswali makuu mawili
1. Huyu mdada ana mapenzi ya kweli kwa huyo anayemwita 'Mwanaume suruali'?
2. Dhana nzima ya mwanamke kuwezeshwa i.e. women empowernment iko? iko biased kuwa anajiweza lakini she always will tegemea mwanaume yaani kwangu ninaona kama utegemezi wa mwanamke kwa mwanaume una mizizi kama ulivyo mfumo dume........na ndipo linapoingia swala la shopping for him..........mwanamke anapesa za kutosha but kujitoa na kumpiga soap mwenzi wake inakuwa tabu (Sikatai kuwa wapo wanaofanya hayo but ni wachache- na asilimia kubwa inakwenda kwa wale tunaowabatiza majina ya kuku wa kienyeji au wanawake wa uswazi kuliko wale wa oysterbay/masaki)
Wanaume wanaangalia sura na maumbo!Kweli Kakiiza umenena vema..............I just ask myself mbona wanaume wao huwa hawajali kama huyu mwanamke ana uwezo au la? Au kwa kuwa wao ndio wanaooa?
Tatizo la wanaume wa sasa akiona humuombi hela, wala kumlilia shida kuna mawili my dear:
1. Ataanza kudhani unampenda sana ndio maana huombi hela kwake ataanza kukunyanyasa akidhani kwake hupindui
2. Asipofanya hilo hapo juu ataanza kukugeuzia kibao kukuchuna/kukuomba hela wewe akidhani unazo sana ndio maana humuombi kumbe unatumia tu ustaarabu una kijipato kina kidhi mahitaji muhimu kwa nini uanze kumkera mwenzio
Hawana jema hawa
Ahahahahaaaah!! Leo wameamka vizuri.
Au atasema kuna mtu anakuhonga!
naelewa maty but asume kila kitu kiko genuine and constant................wewe kama wewe unampenda mwanaume wako ambaye kwa bahati mbaya leo hana uwezo (pengine zamani alikuwa nazo) utathubutu kumwacha kisa mwanaume suruali? (Hapa naye awe genuine si mchunaji au kula kulala)Tatizo la wanaume wa sasa akiona humuombi hela, wala kumlilia shida kuna mawili my dear:
1. Ataanza kudhani unampenda sana ndio maana huombi hela kwake ataanza kukunyanyasa akidhani kwake hupindui
2. Asipofanya hilo hapo juu ataanza kukugeuzia kibao kukuchuna/kukuomba hela wewe akidhani unazo sana ndio maana humuombi kumbe unatumia tu ustaarabu una kijipato kina kidhi mahitaji muhimu kwa nini uanze kumkera mwenzio
Hawana jema hawa
Imekaaje hii inamaana cku wakiamka vizuri ni wote wanaamka vizuri.cku vibaya wote.
That is name calling you have been warned!!!!!!!!!
naelewa maty but asume kila kitu kiko genuine and constant................wewe kama wewe unampenda mwanaume wako ambaye kwa bahati mbaya leo hana uwezo (pengine zamani alikuwa nazo) utathubutu kumwacha kisa mwanaume suruali? (Hapa naye awe genuine si mchunaji au kula kulala)
Acha kujishaua ww! mi ndio wakwanza kukuita hivyo? fu**
Acha kujishaua ww! mi ndio wakwanza kukuita hivyo? fu**
Imekaaje hii inamaana cku wakiamka vizuri ni wote wanaamka vizuri.cku vibaya wote.
maty taratibu bana. Nijuavyo mie wanawake wa udhunguni ni wepesi sana kunyanyasa wakizipata kulinganisha na wa uswazi (Sijui kama nazungumzia zamani maana nami nimezeeka). Mwanamke wa udhunguni yeye akikuomba pesa ya saluni ukampa pesa mbuzi hakawii kukurushia usoni na siku utakapodeclare kuwa huna ndo atakutolea uvivu mwanaume suruali wa kazi gani. Na isitoshe siku akipata pesa zinakuwa zake yaani zake zake, zako zake.Sio kwamba tumeamka vizuri bali wadada wa jf ni watu wenye hekima na adabu zao hawaangalii mapenzi ni pesa, bali mapenzi ya kweli. Ni hao mnaokutana nao uswazi/mitaani ndio wanaowakaba makoo
Tuna kazi..maana kila tunachofanya ni tatizo.Ukiwakataa unaringa..ukiwakubali mrahisi!Ukitaka vijisenti vyao unawachuna..usipotaka unajiona!Ukitulia nao unawaganda..ukiwaacha hujatulia!Tabu tupu!Umeona eeeeee we acha tu! au sa nyingine unaambiwa unaringa/unajisikia kaazi kweli kweli
Ikitokea hivyo ujue hakupendwa mtu bali kitu.naelewa maty but asume kila kitu kiko genuine and constant................wewe kama wewe unampenda mwanaume wako ambaye kwa bahati mbaya leo hana uwezo (pengine zamani alikuwa nazo) utathubutu kumwacha kisa mwanaume suruali? (Hapa naye awe genuine si mchunaji au kula kulala)
maty taratibu bana. Nijuavyo mie wanawake wa udhunguni ni wepesi sana kunyanyasa wakizipata kulinganisha na wa uswazi (Sijui kama nazungumzia zamani maana nami nimezeeka). Mwanamke wa udhunguni yeye akikuomba pesa ya saluni ukampa pesa mbuzi hakawii kukurushia usoni na siku utakapodeclare kuwa huna ndo atakutolea uvivu mwanaume suruali wa kazi gani. Na isitoshe siku akipata pesa zinakuwa zake yaani zake zake, zako zake.
But wale wa Uswazi, akiomba ukampa hata kidogo utapata hewala bwana Mungu akuzidishie; na wengine hicho hicho kidogo ulichompa atakibana ili akununulie nawe japo handkerchief kama ishara ya kukushukuru. ... Sina uhakiak kama nao wanawezasema mwanaume suruali (hapa nazungumzia wale walo kimapenzi zaidi na si kibiashara)
Ah mie nimekupa tu na scenerio nyingine uone. Unajua most of these tabia mbaya huwa wanazisababisha wao na bahati mbaya sie hatuchambua tunafollow tu sasa madhara yakitokea twabebeshwa lawama sie...........anakupenda mwanzo kwa kukupa kila kitu wengine ukitoka nao bar ukiomba kulipa bill hataki, ukimnunulia zawadi hataki sasa anasahau kuwa anakuzoesha na ujumbe unaoupata wewe ni kuwa mwenzangu hapendi nimnunulie zawadi au nilipie bill............siku wakichacha na wewe ukaendelea kuishi ulivyozoeshwa ni kesi. Wnawake tuna kazi kweli kweliHahahaha MJ hamna bwana unajua hawa wa udhunguni ndio wamesababisha marioooo kwa sababu ya kuwahonga? huku uswazi mwanamke wa kukuhonga utamtoa wapi maisha yenyewe haya. Ila mi nadhani inategemea na huyo mwanamke mlipatana vipi na je anakupenda? unajua wanaume wenye hela huwa wanapenda wanawake walio juu na maisha yao ya juu sasa mwanamke kama huyo utamweleza nini?