cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
- Thread starter
- #21
asante nitakufundisha kupika ndizi mzuzu na samaki
thanx BW ila ningependa unifunze kitu kingine nisichokijua maana mie mkoani kwetu ndizi ndo chakula chetu kikuu so nazijulia sana kuzitengeneza.