Kwa mapokezi ya Sadio Mane nahisi Wazungu wameshaanza kuelewa umuhimu wa Waafrika

Kwa mapokezi ya Sadio Mane nahisi Wazungu wameshaanza kuelewa umuhimu wa Waafrika

Ulisoma memkwa nini!!!
Soma hayo maandishi unayoyaona kwenye utepe mwekundu!!!
Trust me bro! Your brain still needs you. Kwa hiyo umeshindwa kujiongeza kwamba hayo maandishi yakuedit? Halafu wewe ni Jf expert member vitu vidogo namna hii unashindwa kuelewa vipi vikubwa?! Usiutenge ubongo wako unapotoa mawazo yako. Ona sasa unavyojidhalilisha.
 
Ukiangalia mapokezi Aliyopata Sadio Mane Mchezaji wa Liverpool Raia wa Senegal aliyekosa Penati dhidi ya Cameroon utajua kwamba Wazungu wameanza kutambua michango ya watu Weusi anzia kwenye mpira naimani itaenda mpaka kwenye Sekta zingine....
Hakuna cha Mane wala nini. Hii ndio picha ya awali kabla haijakarabatiwa. Na huo ulikuwa mwaka 2005.

parade4.jpg
 
Back
Top Bottom