Kwa mara ya kwanza Dar, nashuhudia ukungu

Kwa mara ya kwanza Dar, nashuhudia ukungu

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Aisee nimekumbuka nyumbani kwetu, hali ya ukungu ni kawaida.

Leo ni mara yangu ya kwanza kushuhudia ukungu Dar yenu
IMG_20230710_065440_611.jpg
 
Labda kama Dar umekuja juzi ,Ukungu nje ya mji ni kawaida sana hasa kipindi cha baridi.

Hapo kigogo /Mivinjeni/Mburahati-Mabibo?
 
Wakazi wa Dar ongezeni Umakini🙏

Kimbilieni Kanisani Kwa wingi tubuni dhambi na kumrudia Mungu,ndio salama yenu,

Malaika mharibifu tayari Yu malangoni na manabii wamekwisha tahadharisha.

Kama vile Musa alivyomuinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu aliinuliwa msalabani Ili Kila amtazamaye ATAOKOKA.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
 
Mbona ni karibu kila msimu huu kuna baadhi ya siku huwa hivyo nyakati za asubuhi na mapema, haswa vitongoji vilivyo miinukoni kama Mbezi Mwisho, Goba, Madale, Tegeta Wazo, Mpiji, Kisukuru, Pugu n.k...
 
Back
Top Bottom