Mm level kubwa napaswa kutumia vitu vinavyoendana na hadhi yanguuunisiwasemee wengine... ila mimi binafsi siwezi...maybe yangekuwa yana last at least miezi mitatu ningeweza japo kwa mbinde...
utetezi wangu mkubwa utakuwa kwan ukipaka nnayopaka mimi utachubuka ngozi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kweli kabisa kwa bajeti yako una kila haki ya kuballing na waheshimiwa 😂Mm level kubwa napaswa kutumia vitu vinavyoendana na hadhi yanguuu
Dah...Ahhahhahaa umepatikana. Halafu mbona haujatandika shuka mami au ndiyo mmejigijigii hadi shuka likatoka??
Mimi pia namhonga Mume wangu sumbai . nikipata mshahara ndiyo anazidisha mapenzi ili anichune tuu.
Hhhhhh no comment [emoji28]Mimi kabisa labda utoto ulikuwa unanisumbua au niseme ussta duu eti nihonge mwanaume chaiiiiii naanzaje kwa mfano?
Asikwambie mtu yani unaenda kumdangia mwanaume huna mpango naye alafu anakukopaa inaumaa hiyoo balaaaaa yani unakazana kumkatikia mauno kama yote alafu hupati hata mia.
Mimi toka niwe kwenye mahusiano mbalimbali sjawahi kuhonga ndo nimeanza leoo.
Sasa mwenzenu kama kulogwa hii ni mpya yani LIMBWATA MKOLEO kwa mara ya kwanza nimemtumia hela ya bundle shemeji yenu inabidi mnipongeze kwa mabadiliko hayaaa.
Nyongeza:
Mnaosema mm mzee bitukinao mniache[emoji57][emoji57][emoji57]mm bado binti mbichi chuchu konzi mtoto kama wa jana looh mtoto mwenye usichana wake yani bado nipo kwenye kwenye ishirini na ......... msinizeeshe mxeweew.
View attachment 868241
Hahaha wewe ni mchumi sana baba p.Dah...
Mke/ mume anapewa tuu. Mimi si ndio mhasibu na wewe mtunza pesa
lakini ya mshana sio hii.[emoji46][emoji46][emoji46]Loooh una macho lakin na makengeza kidogo