Kwa mara ya kwanza Demiss nimehonga mwanaume!

Kwenu Moro Eh? Sasa umeijaza levo siti Au na kusimamisha? Maana nilikuwa nafikiria kwenye list ya wakushika bomba!
Wamejaaa abood kama zote wengine wamebaki stand
 
Hahahahaa kumbe umemtumia Jr Junior hapo haujaonga bali umerudisha sehemu ya fadhila Demiss.
 
Kutoa ni moyo siyo utajiri na hiyo ilikuwa ni ridhiki yake tu
 
Ngoja nkomae na hiyo namba kwanza nitacomment baadae
 
Dah...afadhali..maana hali ya Profesa Mshana Jr ilikuwa tete..tulisha mchoka kwa vizinga.....[emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…