Kwa mara ya 'kwanza kabisa' ulibeba mimba ukiwa na umri gani?

Kwa mara ya 'kwanza kabisa' ulibeba mimba ukiwa na umri gani?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Wanawake wengi hatupendo kuongelea hili, kwa kuogopa na kuonwa wahuni. Leo naomba tujimwage hapa, Je, wewe ulibeba mimba ya kwanza ukiwa na umri gani?

Sijasema ulizaa na umri gani, ulibeba mimba na umri gani?

1.jpeg
 
Kwamba Jaji Mfawidhi ni mwanamke?
Mtani wangu PEndaeli, unatoka Vudee, jikite kwenye swali hapo juu ,kaka yako
Nilibeba mimba nikiwa na miaka 24, hapo nimetoka kuajiriwa nimepokea mishahara yangu kama mitatu hivi, Yule Baba akanitegeshea mimba🤣🤣🤣
Natimiza 25 huku nna kitoto changu Alhamdulillah🤣
Hongera shosti, sasa baba ndio alitegesha mimba au wewe ulikuwa ovulation na ukampa kama yote?
Kwanini wakati anakaribia kufika hukuch*moa kwa kumsukuma juu?
 
Mtani wangu PEndaeli, unatoka Vudee, jikite kwenye swali hapo juu ,kaka yako

Hongera shosti, sasa baba ndio alitegesha mimba au wewe ulikuwa ovulation na ukampa kama yote?
Kwanini wakati anakaribia kufika hukuch*moa kwa kumsukuma juu?
Nilikuwa namuamini, siku zote tulikuwa tunatumia njia ya kupull out, Ila Ile siku aliamua kufanya kusudi.....basi nikasema mimba sitoi, nikapigwa ndoa ya mkeka chap......ndo tupo hadi Leo🤣🤣🤣🤣
 
Mtani wangu PEndaeli, unatoka Vudee, jikite kwenye swali hapo juu ,kaka yako

Hongera shosti, sasa baba ndio alitegesha mimba au wewe ulikuwa ovulation na ukampa kama yote?
Kwanini wakati anakaribia kufika hukuch*moa kwa kumsukuma juu?
Nilivyo soma kichwa cha mada na mleta mada ni jaji mfawidhi na mimi firka zangi zote najua jaji mfawidhi na mwanaume! Nikasema ngojea nione mwanaume mwenzangu anauliza swali la namna hii, kuingia ndani nakuta jaji ni mwanamke!!

Lingekua swali linauliza ulibebesha mimba ukiwa na umri gani ningejibu.
 
Nilikuwa namuamini, siku zote tulikuwa tunatumia njia ya kupull out, Ila Ile siku aliamua kufanya kusudi.....basi nikasema mimba sitoi, nikapigwa ndoa ya mkeka chap......ndo tupo hadi Leo🤣🤣🤣🤣
Ooh, ndo baba watoto , hongera sana.
Hii njia ya ku-pull out wenentu tuwafunze, tusione aibu kwasababu mwanaume akikaribia anajulikana tu, hata awe nani!
 
Wanawake ongeeni ukweli ili wadogo zenu wajifunze pia sasa kila mmoja wenu akijifanya yeye ni mtakatifu hapa hamtasaidia kitu..
Msiogope vivuli vyenu wenyewe..!
 
Nilibeba mimba nikiwa na miaka 24, hapo nimetoka kuajiriwa nimepokea mishahara yangu kama mitatu hivi, Yule Baba akanitegeshea mimba🤣🤣🤣
Natimiza 25 huku nna kitoto changu Alhamdulillah🤣
Mwana kulifind mwana kuligetii..mimba unapanga wew ucseme mwamba kakutegeshea uliitaka wew ..🤔🙄
 
Back
Top Bottom