Kwa mara ya 'kwanza kabisa' ulibeba mimba ukiwa na umri gani?

Kwa mara ya 'kwanza kabisa' ulibeba mimba ukiwa na umri gani?

Luv hebu nidokeze kuhusu ur son!! Naweza kuwa mkweo ujue.
Sasa wee una kijana na hunambiii? Sijapentraaaaa
Nataka tutokee kwenye ukaribu, tuwe ndugu luv.

[emoji8][emoji8][emoji8]
Weee mwache handsome wangu, hata picha sikuonyeshi maana utamganda. Ni tall and handsome. Watu wanahisi ni my boyfriend inaboa. Au mdogo wangu. Kuzaa haraka unakuwa sawa na mtoto!
 
Nilibeba mimba nikiwa na miaka 24, hapo nimetoka kuajiriwa nimepokea mishahara yangu kama mitatu hivi, Yule Baba akanitegeshea mimba🤣🤣🤣
Natimiza 25 huku nna kitoto changu Alhamdulillah🤣
Alikuoa?
 
Kuna tofauti ya kubeba mimba na kunasa mimba! Wengi wananasa mimba wakiwa na miaka 16 na kubeba mimba wakiwa na miaka 20 na kitu zinafikisha miezi minne wanaua watoto au wanazaa
 
Ilinasa nikiwa na miaka 20 first year second semester,home wakamaind sana wakazira kulipa ada na gharama zingine muhim,Kwa kua mhusika alikua na malengo na mim na pia alikua kashapata ajira nzuri ya kudumu akaenda chap kulipa mahari na kujitambulisha na kuanza rasmi kulipa gharama zote za masomo yangu.Baada ya kujifungua tukafunga ndoa nikiwa bado mwanafunzi,Mungu ni mwema.

Alisema hatalipa ada na gharama zingine za masomo yangu hadi alipe mahari ajihakikishie kua mimi ni mkewe mtarajiwa.
 
Nilibeba mimba bila kujua,,, jamaaa alipiga wanaita hati triki sikuwahi kutapika sijui kichefu chefu wala udongo nilijua nina mimba wiki ya 35.siku naumwa uchungu nilikua nimelewa sikua na maandalizi yoyote mama mkwe na mtoto wake walinisaidia sana...... Leba nilikua kituko nesi alikua mkali akapoa mwenyewe sukuma anakuja mwingine!. Na huo ukawa mwanzo wa mimi kutulia na kuanza maisha mapya.... Mwaka na nusu badae kitu hii ikawa wawili ulezi wake sio mchezo ukipata dada leo kesho anaaga nikaona isiwe tabu nikatafuta mbibi na mkaka... Hapa naandika msg usingizi umekata kulea lundo la watoto sio mchezo bora wanaozaa mmoja mmoja.
 
Nilikuwa namuamini, siku zote tulikuwa tunatumia njia ya kupull out, Ila Ile siku aliamua kufanya kusudi.....basi nikasema mimba sitoi, nikapigwa ndoa ya mkeka chap......ndo tupo hadi Leo🤣🤣🤣🤣
Kama uliolewa na mimba na ww ni muislamu hiyo ndoa ni batili rudini mkafunge ndoa tena

Ulitakiwa uzae kwanza hlf ndipo uolewe
 
Kama uliolewa na mimba na ww ni muislamu hiyo ndoa ni batili rudini mkafunge ndoa tena

Ulitakiwa uzae kwanza hlf ndipo uolewe
Wazee wa fat'wa nilijua lazima mje🤣🤣🤣 Tunajua tulichokifanya.......nikuhakikishie ndoa ni valid.
 
Nilibeba mimba bila kujua,,, jamaaa alipiga wanaita hati triki sikuwahi kutapika sijui kichefu chefu wala udongo nilijua nina mimba wiki ya 35.siku naumwa uchungu nilikua nimelewa sikua na maandalizi yoyote mama mkwe na mtoto wake walinisaidia sana...... Leba nilikua kituko nesi alikua mkali akapoa mwenyewe sukuma anakuja mwingine!. Na huo ukawa mwanzo wa mimi kutulia na kuanza maisha mapya.... Mwaka na nusu badae kitu hii ikawa wawili ulezi wake sio mchezo ukipata dada leo kesho anaaga nikaona isiwe tabu nikatafuta mbibi na mkaka... Hapa naandika msg usingizi umekata kulea lundo la watoto sio mchezo bora wanaozaa mmoja mmoja.
Hongera sana ndugu yangu, mshukuru sana mwenyezi Mungu.
 
Back
Top Bottom