Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mtani wangu PEndaeli, unatoka Vudee, jikite kwenye swali hapo juu ,kaka yakoKwamba Jaji Mfawidhi ni mwanamke?
Hongera shosti, sasa baba ndio alitegesha mimba au wewe ulikuwa ovulation na ukampa kama yote?Nilibeba mimba nikiwa na miaka 24, hapo nimetoka kuajiriwa nimepokea mishahara yangu kama mitatu hivi, Yule Baba akanitegeshea mimba🤣🤣🤣
Natimiza 25 huku nna kitoto changu Alhamdulillah🤣
Wewe ulibeba mimba ukiwa na miaka mingapi ?View attachment 3016271
View attachment 3016272
Wanawake wengi hatupendo kuongelea hili, kwa kuogopa na kuonwa wahuni.
Leo naomba tujimwage hapa, Je, wewe ulibeba mimba ya kwanza ukiwa na umri gani?
Sijasema ulizaa na umri gani, ulibeba mimba na umri gani?
Nilikuwa namuamini, siku zote tulikuwa tunatumia njia ya kupull out, Ila Ile siku aliamua kufanya kusudi.....basi nikasema mimba sitoi, nikapigwa ndoa ya mkeka chap......ndo tupo hadi Leo🤣🤣🤣🤣Mtani wangu PEndaeli, unatoka Vudee, jikite kwenye swali hapo juu ,kaka yako
Hongera shosti, sasa baba ndio alitegesha mimba au wewe ulikuwa ovulation na ukampa kama yote?
Kwanini wakati anakaribia kufika hukuch*moa kwa kumsukuma juu?
Nilivyo soma kichwa cha mada na mleta mada ni jaji mfawidhi na mimi firka zangi zote najua jaji mfawidhi na mwanaume! Nikasema ngojea nione mwanaume mwenzangu anauliza swali la namna hii, kuingia ndani nakuta jaji ni mwanamke!!Mtani wangu PEndaeli, unatoka Vudee, jikite kwenye swali hapo juu ,kaka yako
Hongera shosti, sasa baba ndio alitegesha mimba au wewe ulikuwa ovulation na ukampa kama yote?
Kwanini wakati anakaribia kufika hukuch*moa kwa kumsukuma juu?
Hongea mno , japo ni ngumu sana mwanaume kutegesea mimba.Nilibeba mimba nikiwa na miaka 24, hapo nimetoka kuajiriwa nimepokea mishahara yangu kama mitatu hivi, Yule Baba akanitegeshea mimba🤣🤣🤣
Natimiza 25 huku nna kitoto changu Alhamdulillah🤣
Ooh, ndo baba watoto , hongera sana.Nilikuwa namuamini, siku zote tulikuwa tunatumia njia ya kupull out, Ila Ile siku aliamua kufanya kusudi.....basi nikasema mimba sitoi, nikapigwa ndoa ya mkeka chap......ndo tupo hadi Leo🤣🤣🤣🤣
Asante.....Basi mimi yamenikuta kwa huyu mwanaume mwenzenu......🤣🤣🤣🤣Hongea mno , japo ni ngumu sana mwanaume kutegesea mimba.
31 nikiwa nimemaliza chuo na Master na hapo nina ajira yangu, nilibeba mimba nikiwa ndani ya ndoa.Wewe ulibeba mimba ukiwa na miaka mingapi ?
Mwana kulifind mwana kuligetii..mimba unapanga wew ucseme mwamba kakutegeshea uliitaka wew ..🤔🙄Nilibeba mimba nikiwa na miaka 24, hapo nimetoka kuajiriwa nimepokea mishahara yangu kama mitatu hivi, Yule Baba akanitegeshea mimba🤣🤣🤣
Natimiza 25 huku nna kitoto changu Alhamdulillah🤣