Trubetzkoy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 349
- 678
AsanteKaribu sana mkuu
Asante sana nduguKaribu sana
Mode habari yako..!Karibu sana mkuu
HahahKaribu sana mkuu huku jf mimi ndio napokea wageni wote naomba unione
Pamoja sanaKaribu sana mkuu.
Asante sana mzeeKaribu sana JF mjuu wetu sie wakongwe.
Mimi siyo mzee ni muzee...Asante sana mzee
Salama boss za kwako?Mode habari yako..!
mueleze mgeni vizur
Nzuri tu za majukumu.
Salama boss za kwako?
Nimueleze sheria za humu au nini?
Salama kabisa bossNzuri tu za majukumu
yeah mueleze sheria za humu
Nimeona si vema kusema nimeingia JF kwa Mara ya pili ilhali hii ndo Mara ya kwanzaMimi nimekupokea kwa mikono mitatu
Kwanini heading yako uandike kwa mara ya kwanza....unajishuku?
Unaomba tukupokee unatujua......?
Utafurahi kuona ukipokelewa kwa mikono miwili au utafurahi UKIPOKEWA kwa mikono miwili?. na utapenda kuingia jukwaa la wakubwa?Habari mabibi na mabwana,mimi ni mgeni kabisa humu ndani naomba mnipokee mimi member mwenzenu.
Nitafurahi kuona nikipokelewa kwa mikono miwili.
Asanteni!
Ndio kiongozi napenda sana jukwaaUtafurahi kuona ukipokelewa kwa mikono miwili au utafurahi UKIPOKEWA kwa mikono miwili?. na utapenda kuingia jukwaa la wakubwa?