Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
Habari yenu wanajf nikiwa Morogoro chuo nikapata dharura ya kuja hapa Dar es salaam mara mojaa.
Mengi nimeyaona ikiwa pamoja na kushangaa jiji pamoja na mwendokasi, pia jengo la tanesco pale bila kusahau jangwani na magorofa ya kariakoo.
Mambo ambayo nimeona kwa mtazamo wangu hapa Dar es salaam in kama ifuatavyo.
1) Dar es salaam ni mkoa ambao unawanawake wazuri wengi sana ,sijawahi ona nilijiuliza sana,wana jf Dar es salaam wanaotafuta wasichana jf hivi ni vipofu au ?
2)Dar es salaam ni mkoa wenye asilimia 79% ya wanawake wamejazia nyuma,sasa cjui ni natural au vipi naomba majibu kwa hili.
3)Nimezunguka maeneo ya kariakoo aisee balaa wasichana wa kiislam wamevalia hijabu wazuri balaaaa,aisee Dar es salaam blessed.
Kikubwa ni kua sikuweza kufanya nilichozamilia kufanya Dar es salaam ujanja ujanja mwingi sana.
Mengi nimeyaona ikiwa pamoja na kushangaa jiji pamoja na mwendokasi, pia jengo la tanesco pale bila kusahau jangwani na magorofa ya kariakoo.
Mambo ambayo nimeona kwa mtazamo wangu hapa Dar es salaam in kama ifuatavyo.
1) Dar es salaam ni mkoa ambao unawanawake wazuri wengi sana ,sijawahi ona nilijiuliza sana,wana jf Dar es salaam wanaotafuta wasichana jf hivi ni vipofu au ?
2)Dar es salaam ni mkoa wenye asilimia 79% ya wanawake wamejazia nyuma,sasa cjui ni natural au vipi naomba majibu kwa hili.
3)Nimezunguka maeneo ya kariakoo aisee balaa wasichana wa kiislam wamevalia hijabu wazuri balaaaa,aisee Dar es salaam blessed.
Kikubwa ni kua sikuweza kufanya nilichozamilia kufanya Dar es salaam ujanja ujanja mwingi sana.