nilikuwa najifagilia kwa masela kwamba dem flan nishamkula sababu walikuwa wananiona nae!
kumbe nilikuwa najipendekeza tuu kwa yule demu sababu alikuwa bomba mbaya kabisa.ilinibidi niwe napiga nae stori tuu sababu alishanikataa!
nikawa najitapa kwa masela jinsi nilivyokuwa namkunja!
katika wale masela kumbe kuna mmoja na yeye anatafuta gia ya kwendea kwa demu...
akatumia gia hiyo kwa kumuuliza demu eti yule fala anajisifu amekukula...
siku hiyo nimekaa dukani kwa mangi nakunywa kipotabo mara demu huyooo!!
nilivyomuona nikatabasamuuu na kumkaribisha soda...
acheni wana JF siku hiyo yule dada alininyea hadi koka ikawa chungu..
nyingine ilikuwa ni demu wa msela wangu.
msela alikuja kunitambulisha huyo pisi yake mpya..
yule dem mi namjua ni kicheche..
baada ya muda nikamchana msela kwamba yule manzi awe nae makini ni kichche.
msela alivyo mmbea si akaenda kumwambia demu aseee!
yule demu asubuhi subuhi hata hajapiga mswaki akaniibukia ofisi aseee!!
swali la kwanza mbele za watu aliniuliza..
ulishawahi lini kuniiitombaa!
unasema mi malaya ushawahi kunityombaaa!
alinichamba pale mi kimyaa..
siku hiyo kwa aibu niliomba ruhusa kazini nikapumzike tuu..
HADI LEO UMBEA NOOOOO..