Kwa mara ya kwanza napendwa na 'Choko'

Kwa mara ya kwanza napendwa na 'Choko'

Huwezi kula bila kuliwa kwa hiyo kama uko tayari kwa hiyo dhambi kula izo pesa lakini lazima na yeye atatake umtimizie haja zake na ukishanogewa na utamu wa pesa za kupewa lazima utapakua vitu na huo ndio mwanzo wakua mzoefu maaarufu
 
Mpige pesa uyo kama umuwezi nipe namba nipate pesa ya nauri mie maana hili Boom la mwisho.
 
Halafu ni mwembamba kichizi, bora basi angekuwa kajaa jaa kidogo hata tako.

Si ukimwi tu hapo watu wanautafuta.
wanakuwaga hivo mkuu hawa machoko yupo na mchezo wao ni huo anakugeukia hutaamini.
 
Moyo unanipanga nisikilizie kidogo nione mambo yatakuwaje
Dah! yawezekana una uchoko ndani ya nafsi ndio maana unataka kusikilizia.

Huwa ndivo inavoanza ivo, kutojielewa mwisho wa siku uanjikuta tayari uti wa yai umeeenea kwenye njia ya haja kubwa.
 
Tulainishie lugha kidogo kwa sisi washamba.
Choko ndo nini? me nikahisi chokoraa(watoto wa mtaani)
Mpalange ni nini pia?
 
Alikuona na wewe umepaka lips mafuta, halafu unafanana na yule ray anaekunywa maji mengi hadi anakua mweupe,. Sasa kwa muonekano huo lazima ajue ni choko mwenzake ,,, hata mawazo yako uliyo yaandika hapa bado unaonekane wewe na yeye wote ni kitu kimoja tu.

Ndio maana hapo chini umeandika kabisa sijui nile hela zake tu,,, hiyo kauli pamoja na kukubali kumpa namba ya simu ndio uchoko wenyewe, yaani mwanaume eti na we unapanga mbinu ya kula hela za mwanaume mwenzako kwa nini usitafute zako?
 
Huku unawahusisha wanao au wadau?

Mungu Ibariki Tz - MITz
 
Huna lolote umekuja kujisifu tu kua Mazoezi yako yameanza kulipa.... Usingetoa namba ndio uombe ushauri!...
 
Back
Top Bottom