Kwa Mara ya kwanza napigana kisa ulevi

Kwa Mara ya kwanza napigana kisa ulevi

Habari za siku wakubwa

Daah Najilaumu sana.. Jana kwa mara ya kwanza nimepigana kwa sababu ya kulewa..

Leo nashindwa kwenda Hata mtaani kwa sababu ya aibu tele kama hii.. watu ninaoheshimiana nao wameniona Nikipigana.

Pombe mbaya jamani mnaishia kuumizana asubuhi ukiamka ndo unayapata Maumivu na akili ndo zinarudi!

Natoka Rasmi Chamani kuanzia leo!

Santana
Kanuni tatu za pombe
Usijisahau wewe ni nani
Ujijue uko wapi
Ukumbuke uko wapi
Ukivunja mojawapo ya hizo hata Kabla ya kujitoa utatolewa
 
Back
Top Bottom