Haya mambo ni magumu sana, kuna maza wengine wanaitumia kulipa visasi kwa waliyotendewa huko nyuma wengine ni roho mbaya tu amkomeshe mumewe,Maza akiwa na hela mzee atakula vizuri Ila Sasa ngoja baba awe na hela
Itafute kama hiyo uiweke hapa ukiweza nitumie acc yako ya bank nikupe laki 2 sasa hvHii kila mtu anaweza kuiweka hapa. Nikaipakua nikaandika mtandao mwingine wa kijamiii kutafuta recognition. Weka iyo 8M ilivyoingia,ulivyoitoa 2M na ulivyoituma kwa maza, akaunti weka jina lako moja mengine uyafiche na id yako na yenyewe ufanye ivyo2 tupe jina lako na contract angalau tuone jina moja
Nimekuambia kuwa mzazi ametoa maneno mazuri kwa kubadilishana na pesa uliyompatia.Sijafanya trading, ni kuhamisha pesa from usd acc to,,,,,,,, acc
Hata dola Mia haifiki iyo laki 2 yako. Nakuhurumia tuma kwanza alfu kumi tu niitume Kama iyo ,Ila mie Sina account ya 🏦,hela zangu Ni ndogo mno kuweka benki zinaishia mfuko wa Shari tu,Mana kubaruani nalipwa alfu kutwa ,nikitoa kula na nauli nabakiaa na alfu 2 tu pee dayItafute kama hiyo uiweke hapa ukiweza nitumie acc yako ya bank nikupe laki 2 sasa hv
Kwani wewe hii umetuma akaunti ya 🏦,pia fanya Kama mie nilivyokuambiaItafute kama hiyo uiweke hapa ukiweza nitumie acc yako ya bank nikupe laki 2 sasa hv
Wewe kutoboa tu chuo huezi , am rooting you... Ukiweza basi we ni Jini[emoji23]Maisha yanaogopesha sana kwa sisi watoto wa kiume wakubwa[emoji51]
Sijui nikimaliza chuo itakuwaje
Hap ndio tunawakosea wazeeUmeituma kwa bi mkubwa ghafla unashangaa miaka imeenda kumbe mzee ajui ata kama una tumaga pesa
Bado ipo na ule mchongo mwanangu!!Baada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.
Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.
Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.
Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.
Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.