Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Maza akiwa na hela mzee atakula vizuri Ila Sasa ngoja baba awe na hela
Haya mambo ni magumu sana, kuna maza wengine wanaitumia kulipa visasi kwa waliyotendewa huko nyuma wengine ni roho mbaya tu amkomeshe mumewe,
 
So umefanya trading money vs baraka words. Ila hongera zako. Mie nimejikita hapo kuwa mzazi akanena baada ya kuwa naye amepata kitu
Sijafanya trading, ni kuhamisha pesa from usd acc to,,,,,,,, acc
 
Itafute kama hiyo uiweke hapa ukiweza nitumie acc yako ya bank nikupe laki 2 sasa hv
 
Itafute kama hiyo uiweke hapa ukiweza nitumie acc yako ya bank nikupe laki 2 sasa hv
Hata dola Mia haifiki iyo laki 2 yako. Nakuhurumia tuma kwanza alfu kumi tu niitume Kama iyo ,Ila mie Sina account ya 🏦,hela zangu Ni ndogo mno kuweka benki zinaishia mfuko wa Shari tu,Mana kubaruani nalipwa alfu kutwa ,nikitoa kula na nauli nabakiaa na alfu 2 tu pee day
 
Hili ni tatizo sana Kwa watoto wa kiume wanajitakia laana ambayo Haina msingi wowote , Baba aliyekulea hata kama alikufanyia vibaya muheshimu na umpende hakuna njia ya mkato kama umefanikiwa kupata kidogo . Watumie wote kiasi sawa

Hapa ungetuma 1m Kwa Baba na 1m Kwa mama baraka hazitoki upande Mmoja

Elewa watoto wako na wewe watakutenga hivyo hivyo unavyofanya

Fanyeni mambo ya kiume mwanaume , mwanaume unakuwaje na kinyongo ???

Mwanaume umekwazwa ongea yaishe iweke akili yako ktk kutafuta achana na Nia ovu

Wanaume tunatengwa na watoto kwa sababu sisi tulianza kuwatenga wazazi

Hata kama Baba yako ni mwingine siyo yule alokulea hakikisha yeye ndiyo alokulea mpe heshima yake

Naanza Rasmi harakati za kielimisha watoto wa kiume
 
Hakuna moment nzuri kama kumsaidia mzazi hata Kwa kidogo...huwa wanatoa baraka sana
 
Bado ipo na ule mchongo mwanangu!!
Najua saizi una ndinga ushasahau kama uli haso.

Nataka unishauri mambo ya magari ! ushauri kutoka kwa muhangaikaji huwa unanoga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…