mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
yueni hakuna post ya new teacher!!Atakwambia anafanya kazi yueni
Nimeanza kazi mwezi wa huu tr 1Amesema ni Mwl.
Fanya kaanza kazi mwezi wa Kwanza
Fanya hakatwi bodi Wala chama sijui Cha walimu.
Fanya pesa anayolipwa hata kumi hakatwi.
Na huu ni mwezi wa nane.
Jibu ni kuwa Mwl analipwa 1m kwa mwezi na toka mwezi wa Kwanza hajatumia hiyo hela hata Mia
Ndio hiyo 8m ilivokuja Au sio !
Hilo ajibu mwenyewe mkuuAmesema ni Mwl.
Fanya kaanza kazi mwezi wa Kwanza
Fanya hakatwi bodi Wala chama sijui Cha walimu.
Fanya pesa anayolipwa hata kumi hakatwi.
Na huu ni mwezi wa nane.
Jibu ni kuwa Mwl analipwa 1m kwa mwezi na toka mwezi wa Kwanza hajatumia hiyo hela hata Mia
Ndio hiyo 8m ilivokuja Au sio !
Hongera...ngoja pis Kali zianze kukutafuta....tunakuja dm si mdaBaada ya kumaliza Chuo mwaka jana life ikapiga vibaya mno, kila muda nilikuwa nawaza jinsi gani nitasaidia familia yangu (Ni mtoto wa kiume mkubwa) Ilikuwa inauma sana pale ambapo unaamka asubuhi huna cha kufanya hadi kuna muda unahisi kama kifua kinabana.
Kuna muda nakaa najitafakari naona kama ni mzigo home, but hakuna aliyewahi niambia, sister kuna muda mshahara ukitoka ananitoa laki basi maisha yanaenda.
Mwanzoni mwa mwaka huu kuna mchongo nikaupata katika harakati za kushughulikia ili utiki, nikawa naingia katika mzozo sana na mzee maana mara nyingi nilikuwa narudi usiku anamind, ananisema ila kwa upande wangu inaniuma lakini nakaza ili isionekane kama imeuma (akaanza kuona kama namdharau) sasa kuna muda huna nauli kuomba siwezi so nachukua bike kutoka home hadi kwenye michakato as usual narudi usiku.
Kwenye kuhangaika hivyo mchongo ukatiki nikatumiwa mkataba nikasign nikaenda kazini, nikaona afadhali nimetoka home, mchongo unalipa fresh tu, silipi kodi wala bills kama maji, umeme na utilities zingine, na ni apartment nzuri unyama ni mwingi.
Leo account imesoma kwa newhires wote mzigo umesoma almost M 8, nikatoa M2 nimewatumia home, bi mkubwa ameshukuru mnooo, kuna ile feeling ya kuwa Now na wewe ni wa muhimu, sijawahi jisikia vizuri kama leo, ameninenea maneno ya Baraka hadi nikahisi zinajaa physically. Leo na mimi nimehisi ni wa muhimu.
Huyu jamaa muongo sanayueni hakuna post ya new teacher!!
Mkuu kama sio chai basi ungeweka wazi basic yako ni kiasi gani, labda hapo umelipwa reallocation, overtimes na allowances nyingine.Nimeanza kazi mwezi wa huu tr 1
Teacher kama Teacher ..Nimeanza kazi mwezi wa huu tr 1
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mil 8 au laki 8?
Mhhh apa tz ualimu gani ulipwa mil 8?Ualimu
Unataka umfundishe ulevi kama wako! Acha kuharibu vijana wanaojitafuta. Ulevi na maisha ya kuhustle haviendani
maneno makali haya dada
CCIP, Exploratories, na mshaharaMkuu kama sio chai basi ungeweka wazi basic yako ni kiasi gani, labda hapo umelipwa reallocation, overtimes na allowances nyingine.
Mimi sijakubishia ila bado sijakuunga mkono bado. Mpaka uweke mambo clear.
Hapa bongo hakuna taasisi X!!! chapia tu na hapa kwani kuna mtu anakuona usoni?Taasisi x, nafasi ni new teacher
Oooh na mimi nina baiskeli pia [emoji4]Fresh graduate wa MWAKA JANA!! hajasema alsomea kozi gani!! Leo imesoma kwa new hires wote!! Maana yake ni mwajiriwa mpya serikalini / taasisi za umma maana jana na leo ndo wanaingiziwa mpunga wao!! Hakuna mwajiriwa mpya hata mmoja anayeweza kupata net pay ya M8 maana yake basic salary ni zaidi ya M10!! Hadithi ikikosa uhalisia huwa haifikii malengo yake!!
Ila ninavyodhani: Huyu ni mwajiriwa mpya!! alivyopata hako kahela kiduchu baada ya msoto mrefu, hizo pesa anaziona ni nyingi sana kama M8 vile!! hakuzitegemea!! Nakumbuka kuna mtu alivyoanza ajira tu alinunua baiskeli!! Hiyo baiskeli alikuwa anaiita PAJERO!! Wakati huo magari ya Pajero yalikuwa yanavuma sana!!
Ameupiga mwingi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wakati mwing
Wakati mwingine hadithi kama hizi huwa zinamriwaza mtu!! unajitungia hadithi nzuri angalau ikutie moyo huku ukiomba siku moja iwe kweli!! Ila hata kama ni hadithi, ungejaribu kuipa uhalisia kidogo!! hapo kwenye M8 bongo hii umechapia sana!! Kama ni upigaji sawa!! lakini new hire??? jaribu kutunga kwa uhalisia wakati mwingine!!