Kwa mara ya kwanza nimemfuma demu wangu akiliwa na mmasai

Ngoja nikueleze nimeishi umasaini,
Wamasai wanatahiriwa na kubakishwa kitu kinaitwa kifagio... mzee wangu demu akipitishia mashine yenye kifagio na masai usitegemee atakuwa wako no more.

Sanasana demu atakuwa anakuchuna anampelekea masai wakale roshorooo. Kanyooo tukuruu!
 
Ukiuwa kwa upanga nawe utauliwa kwa upanga vilevile, nawe pengine ulishawahi kufanya hivyo
 
Hakuna cha kifagio wala cha kichelewa..kama ndo hvyo mademu wote c wangekuwa wa wamasai coz ya hyo vifagio vyao...ishu ni kuwa mbunifu jinsi ya kumkuna Demu wako...unaweza ukawa huna hcho kifagio lkn ukafagia[emoji39]
 
Wewe ni Ndito? Sio enchabo ni Olchabo. Enchabo ni ya meeki.
 
Yaweza kuwa kweli mkuu huyu demu huyu ila siyo mbaya alikuwa ni mchepuko tu
 
Mi nilifanya ziara ya kushitukiza tu mkuu siyo mitego wala nini?
 
Wakati nyie ndio mnasisitia maandalizi muhimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…