Kwa mara ya kwanza nimesikia Wabunge wakisema hawaungi mkono hoja! Spika Tulia ajiuliza waliounga mkono walitoka wapi!

Kwa mara ya kwanza nimesikia Wabunge wakisema hawaungi mkono hoja! Spika Tulia ajiuliza waliounga mkono walitoka wapi!

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Salaam,

Kwakweli katika kufatilia vipindi vya bunge sijawahi kuona mbunge akichangia hoja halafu mwishoni aseme siungi mkono hoja!

Mara zote huwa wanatoa malalamiko weee ya kukosoa hoja hiyo lakini mwisho wa siku wanaunga mkono hoja, leo kwa mara ya kwanza nimeona mbunge kagoma kuunga mkono hoja.

Ugumu huwa uko wapi kwa waabunge katika kutounga mkono hoja kama umeona kabisa kuna mambo kibao hukubaliani nalo?




 
Salaam,

Kwakweli katika kufatilia vipindi vya bunge sijawahi kuona mbunge akichangia hoja halafu mwishoni aseme siungi mkono hoja!

Mara zote huwa wanatoa malalamiko weee ya kukosoa hoja hiyo lakini mwisho wa siku wanaunga mkono hoja, leo kwa mara ya kwanza nimeona mbunge kagoma kuunga mkono hoja.

Ugumu huwa uko wapi kwa waabunge katika kutounga mkono hoja kama umeona kabisa kuna mambo kibao hukubaliani nalo?

Hoja ipi? ya kutolipwa mafao yao nao waone uchungu? (sijasikiliza clips zako)
 
Kiini macho tu hicho, wanajua muda si muda watarudi kwa wananchi. Hivyo lazima wajikoshe.
Hata kama ni maigizo, walau ni mwanzo kwa wengine kufanya kweli ikitokea kuna hoja mbovu
 
Hao wajinga wanajua uchaguzi mkuu umekaribia hivyo wanaanza kujibebisha kwa wapiga kura.
 
Uchaguzi unakaribia wanacheza na akili zenu tu

Ova
 
Back
Top Bottom