kwa mara ya kwanza nimetumia PREP ON DEMAND 2-1-1

kwa mara ya kwanza nimetumia PREP ON DEMAND 2-1-1

Hypersonic WMD

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,337
Reaction score
1,876
Mwezi haujaisha ila mmh!!Nimepiga mzigo mmoja hatari sana.

siko sure saana na hizi kitu!!….
Maana wiki sasa leo naona kama nawashwa washwa
Wenye uzoefu wa hizi dawa za prophylaxis wanitie moyo!😎
 
Mwezi haujaisha ila mmh!!Nimepiga mzigo mmoja hatari sana.

siko sure saana na hizi kitu!!….
Maana wiki sasa leo naona kama nawashwa washwa
Wenye uzoefu wa hizi dawa za prophylaxis wanitie moyo!😎
Unakula PEP au PREP? Kama umekula mzigo tayari ndio unaenda na PEP
TLD ndio ina muwasho flan hivi lakini baada ya muda unapotea.
 
Back
Top Bottom