Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Kitu gani?Kuna mwenye uzoefu wa hii kitu
Unakula PEP au PREP? Kama umekula mzigo tayari ndio unaenda na PEPMwezi haujaisha ila mmh!!Nimepiga mzigo mmoja hatari sana.
siko sure saana na hizi kitu!!β¦.
Maana wiki sasa leo naona kama nawashwa washwa
Wenye uzoefu wa hizi dawa za prophylaxis wanitie moyo!π
Ukimaliza kula hizo karanga acha uzini
PREPUnakula PEP au PREP? Kama umekula mzigo tayari ndio unaenda na PEP
TLD ndio ina muwasho flan hivi lakini baada ya muda unapotea.
PREP ON DEMANDUnakula PEP au PREP? Kama umekula mzigo tayari ndio unaenda na PEP
TLD ndio ina muwasho flan hivi lakini baada ya muda unapotea.
Haya n matumizi ya nnMoyo unaanza kudunda
Njaa itakuwa inakuuma balaa
Maruweruwe
Cheki Figo zako zisiathirike
Kusinzia.
Hongera kwa kuukimbia Umeme ila ndio uvumilie sasa
nnπ Dah π
PrEp on demandKitu gani?
TumesikiaUSAID washachomoa betri, hamjasikia tu?