Una Mwanao, Ambaye siku zote amekuwa akikupendeza sana ndani ya nafsi yako ukasema huyu nitampa zawadi fulani, ghafla huyo mwanao akabadilika akageuka kuwa chukizo mbele yako, Je hio ahadi yako utaitmiza?Kama Mungu aliwaumba watu wasife milele na milele, na hiyo ndiyo ilikuwa dhamiri yake.
Halafu ikaja kutokea watu wameweza kufa, kwa sababu yoyote.
Huyo Mungu ameshindwa kutimiza alichotaka kufanya.
Kwahiyo hapo unamfananisha baba ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendowote na Mungu mwenye ujuzi wote uwezowote na upendo wote?Una Mwanao, Ambaye siku zote amekuwa akikupendeza sana ndani ya nafsi yako ukasema huyu nitampa zawadi fulani, ghafla huyo mwanao akabadilika akageuka kuwa chukizo mbele yako, Je hio ahadi yako utaitmiza?
Una Hoja Nyepesi saana!
Nimekupa Mfano halisia ili upate kuelewa.. Anyways iko ivoKwahiyo hapo unamfananisha baba ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendowote na Mungu mwenye ujuzi wote uwezowote na upendo wote?
Baba anaweza kusema mimi nilikuwa nimmpa zawadi mtoto wangu, kwa sababu sikujua atakuja kuwa vipi baadaye.
Mungu wako naye hajui yatakayokuja kuwa baadaye?
Unafananishaje ka namna hiyo baba na Mungu wakati Mungu mnasema ana uwezowote, ujuzi wote na upendowote, wakati baba hana sifa hizo?
Hapanani mwenye hoja nyepesi kati yakousiyejua kufananisha na mimi ninayekuonesha makosa ya kimantikikatikajinsi yako ya kufananisha mambo?
Hapana, umelazimisha mfano.Nimekupa Mfano halisia ili upate kuelewa.. Anyways iko ivo
Hapana, wewe ndiye umemfananisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote na Baba asiye na sifa hizo.Hili umesema wewe sio Mimi, No Comment