BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Jana nikiwa nasikiliza kipindi kimoja cha michezo nilishtuka sana, mmoja wagombea alilalamikia
Hiki kipengele naamini viko vingi vya kubadilisha
Kila mgombea anahitaji wadhamini si chini ya watano kila mkoa na kama mmoja wa wagombea eg karia akishapita Moshi Mwakagenda haruhusiwi kupita tena
Nini maana yake Kama kuna wagombea 12 urais, means kunahitajika mikoa 12*5
Hapo ndipo utajua PCCB iliundwa kwa ajili gani haya masheria mengine nI magumu sana yanachangia rushwa kwenye uchaguzi
Wajumbe wanauwezo wakuangalia nani mwenye mzigo mrefu ndiye wamdhamini Kama wewe kashunda Nani Kama mm ndugu nakushauri tangaza tu
#Nimejiondoa
#Jambo lingine wagombea wamelalamika sana jana kuna michezoo inafanywa wale wagombea wengine wanasindikiza wenzao
Sasa kwenye kuchuja huwa wanahaoikishiwa kuwemo mpaka last stage
Hapoondipoo utasiki
#NIMEAMUAKUJIONDOA
Sababuuu anaona my Fulani anatoshaa
TFF, PCCB haka kamchrzo kathibitiwe kabaki historia
Tunaomba UCHAGUZI wa huru na haki thanks
#kaziiendeleeeee
Hiki kipengele naamini viko vingi vya kubadilisha
Kila mgombea anahitaji wadhamini si chini ya watano kila mkoa na kama mmoja wa wagombea eg karia akishapita Moshi Mwakagenda haruhusiwi kupita tena
Nini maana yake Kama kuna wagombea 12 urais, means kunahitajika mikoa 12*5
Hapo ndipo utajua PCCB iliundwa kwa ajili gani haya masheria mengine nI magumu sana yanachangia rushwa kwenye uchaguzi
Wajumbe wanauwezo wakuangalia nani mwenye mzigo mrefu ndiye wamdhamini Kama wewe kashunda Nani Kama mm ndugu nakushauri tangaza tu
#Nimejiondoa
#Jambo lingine wagombea wamelalamika sana jana kuna michezoo inafanywa wale wagombea wengine wanasindikiza wenzao
Sasa kwenye kuchuja huwa wanahaoikishiwa kuwemo mpaka last stage
Hapoondipoo utasiki
#NIMEAMUAKUJIONDOA
Sababuuu anaona my Fulani anatoshaa
TFF, PCCB haka kamchrzo kathibitiwe kabaki historia
Tunaomba UCHAGUZI wa huru na haki thanks
#kaziiendeleeeee