Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, au ilijengwa bure?

Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, au ilijengwa bure?

kasanga70

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
222
Reaction score
515
Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure?

Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara. Wastani wa maroli 250 hadi 300 kwa siku yanayobeba makaa ya mawe tu, bado haya mengine ya mazao, mbao, mabasi, gari binafsi nk.

Ukipita hii barabara ndio unawezajua kuwa tuliwahi kuwa na viongozi au vituko. Barabara ni mbovu mno mno na Nafikiri kama ina umri mkubwa basi ni close to 20 years only. Yaani lami hata kwa mkono unaweza ifumua halafu immediately unakutana na vumbi chini yake soo sad.

Mashimo ya kufa mtu, vilaka idadi haielezeki hivi ni nini hiki jamani Tanzania yetu....! Unakuta maintenance inafanyika kipande cha kilometres 2 mwaka mzima??...? Honest.....! Kuna mengi yanafikirisha sana anyway let's be patient....as usual Watanzania ni wastahimilivu.

Huyu mama angepita hiyo barabara hata siku moja tuu nafikiri angekuwa na cha kusema.
 
Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure? Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara. Wastani wa maroli 250 hadi 300 kwa siku yanayobeba makaa ya mawe tu, bado haya mengine ya mazao, mbao, mabasi, gari binafsi nk.
Ukipita hii barabara ndio unawezajua kuwa tuliwahi kuwa na viongozi au vituko. Barabara ni mbovu mno mno na Nafikiri kama ina umri mkubwa basi ni close to 20 years only. Yaani lami hata kwa mkono unaweza ifumua halafu immediately unakutana na vumbi chini yake soo sad. Mashimo ya kufa mtu, vilaka idadi haielezeki hivi ni nini hiki jamani Tanzania yetu....! Unakuta maintenance inafanyika kipande cha kilometres 2 mwaka mzima??...?????? Honest.....! Kuna mengi yanafikirisha sana anyway let's be patient....as usual watz ni wastahimilivu. Huyu mama angepita hiyo barabara hata siku moja tuu nafikiri angekuwa na cha kusema.
Wachina miyeyusho hao !Hasa wa kuanzia Dodoma _Mtera.
 
Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure? Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara. Wastani wa maroli 250 hadi 300 kwa siku yanayobeba makaa ya mawe tu, bado haya mengine ya mazao, mbao, mabasi, gari binafsi nk.
Ukipita hii barabara ndio unawezajua kuwa tuliwahi kuwa na viongozi au vituko. Barabara ni mbovu mno mno na Nafikiri kama ina umri mkubwa basi ni close to 20 years only. Yaani lami hata kwa mkono unaweza ifumua halafu immediately unakutana na vumbi chini yake soo sad. Mashimo ya kufa mtu, vilaka idadi haielezeki hivi ni nini hiki jamani Tanzania yetu....! Unakuta maintenance inafanyika kipande cha kilometres 2 mwaka mzima??...?????? Honest.....! Kuna mengi yanafikirisha sana anyway let's be patient....as usual watz ni wastahimilivu. Huyu mama angepita hiyo barabara hata siku moja tuu nafikiri angekuwa na cha kusema.
Ina chini ya miaka 12 kwa kiwango cha lami, ilianza kutumika 2013/2014.
 
Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure?

Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara. Wastani wa maroli 250 hadi 300 kwa siku yanayobeba makaa ya mawe tu, bado haya mengine ya mazao, mbao, mabasi, gari binafsi nk.

Ukipita hii barabara ndio unawezajua kuwa tuliwahi kuwa na viongozi au vituko. Barabara ni mbovu mno mno na Nafikiri kama ina umri mkubwa basi ni close to 20 years only. Yaani lami hata kwa mkono unaweza ifumua halafu immediately unakutana na vumbi chini yake soo sad.

Mashimo ya kufa mtu, vilaka idadi haielezeki hivi ni nini hiki jamani Tanzania yetu....! Unakuta maintenance inafanyika kipande cha kilometres 2 mwaka mzima??...? Honest.....! Kuna mengi yanafikirisha sana anyway let's be patient....as usual Watanzania ni wastahimilivu.

Huyu mama angepita hiyo barabara hata siku moja tuu nafikiri angekuwa na cha kusema.
Cha ajabu ya Makambako Songea ambayo ni ya zamani zaidi na inapitisha hayo malorry ya makaa bado ipo imara. Karibu barabara zote mpya mpya ni mbovu hakuna mfano.
 
Dodoma, Mpunguzi Imechombika, Mtera Mpaka Kuanza Kupanda Mlima Yaani Oops Kama Barabara Ya Kijijini
Juzi nilipita hiyo barabara tokea Mbeya kwenda Dodoma. Safari nilianza saa tano usiku, nilipofika kona za milima Nyang'olo zike kilomita 26 nilitembea kwa adabu mno muda wa saa tisa usiku. Baada ya hapo hakika nilishuhudia barabara mbovu kuliko zote inayoungaunganisha mikoa ya kimkakati kiuchumi Tanzania. Sishangai wala simlaumu kwanini Lt. Magufuli alimchenjia yule mhandisi na kumwambia aifumue na kuijenga upya kwa garama zake. Pale uhuni na ufisadi mkubwa umefanyika na viongozi wapo kimya tu.
Pamoja na mapungufu yake lakini kuna mambo atasifiwa tu.
 
Juzi nilipita hiyo barabara tokea Mbeya kwenda Dodoma. Safari nilianza saa tano usiku, nilipofika kona za milima Nyang'olo zike kilomita 26 nilitembea kwa adabu mno muda wa saa tisa usiku. Baada ya hapo hakika nilishuhudia barabara mbovu kuliko zote inayoungaunganisha mikoa ya kimkakati kiuchumi Tanzania. Sishangai wala simlaumu kwanini Lt. Magufuli alimchenjia yule mhandisi na kumwambia aifumue na kuijenga upya kwa garama zake. Pale uhuni na ufisadi mkubwa umefanyika na viongozi wapo kimya tu.
Pamoja na mapungufu yake lakini kuna mambo atasifiwa tu.
Magu angekuwepo sasa hivi tz ingekuwa level zingine kimaendeleo,hiyo barabara ingefumuliwa zamani ,barabara ya Igawa Tunduma ingekuwa imekamilika, kitonga angesha pafumua ingekuwa ni tambarare, bandari ingekuwa imeboreshwa kwa viwango vya kisasa, barabara za wilaya na jiji nyingi zingekuwa zimekamilika, itoshe kusema he was visionary leader for Tanzania.
 
Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure?

Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara. Wastani wa maroli 250 hadi 300 kwa siku yanayobeba makaa ya mawe tu, bado haya mengine ya mazao, mbao, mabasi, gari binafsi nk.

Ukipita hii barabara ndio unawezajua kuwa tuliwahi kuwa na viongozi au vituko. Barabara ni mbovu mno mno na Nafikiri kama ina umri mkubwa basi ni close to 20 years only. Yaani lami hata kwa mkono unaweza ifumua halafu immediately unakutana na vumbi chini yake soo sad.

Mashimo ya kufa mtu, vilaka idadi haielezeki hivi ni nini hiki jamani Tanzania yetu....! Unakuta maintenance inafanyika kipande cha kilometres 2 mwaka mzima??...? Honest.....! Kuna mengi yanafikirisha sana anyway let's be patient....as usual Watanzania ni wastahimilivu.

Huyu mama angepita hiyo barabara hata siku moja tuu nafikiri angekuwa na cha kusema.
Hiyo Barabara previously waliunderdesign ,traffic survey haikupredict vizuri traffic growth especially commercial vehicles..pavement layers zate hazihimili traffic loads.
 
Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure?

Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara. Wastani wa maroli 250 hadi 300 kwa siku yanayobeba makaa ya mawe tu, bado haya mengine ya mazao, mbao, mabasi, gari binafsi nk.

Ukipita hii barabara ndio unawezajua kuwa tuliwahi kuwa na viongozi au vituko. Barabara ni mbovu mno mno na Nafikiri kama ina umri mkubwa basi ni close to 20 years only. Yaani lami hata kwa mkono unaweza ifumua halafu immediately unakutana na vumbi chini yake soo sad.

Mashimo ya kufa mtu, vilaka idadi haielezeki hivi ni nini hiki jamani Tanzania yetu....! Unakuta maintenance inafanyika kipande cha kilometres 2 mwaka mzima??...? Honest.....! Kuna mengi yanafikirisha sana anyway let's be patient....as usual Watanzania ni wastahimilivu.

Huyu mama angepita hiyo barabara hata siku moja tuu nafikiri angekuwa na cha kusema.
Haina miaka 10 hio barabara ya lami Dodoma to Iringa
 
Tunachekiana , yaani binadamu haelewi kwa lugha ya upole.hizo.nchi.zote wanazojiita demokrasia huko nyuma waliuana ama waliua mno watu washenzi shenzi ndio wakashika adabu, wakapiga kazi na viongozi wakawa.waaminifu wakajenga nchi zao. Leo hii nyie Kila mtu aongee unadhani Kila binadamu anayo akili yake Sasa waza Kila mtu anataka wazo.lake lifanyiwe kazi, unadhani itakuwaje, yaani hapa tungepata Hitler mmoja ivi miaka 20 tu tunatoa msaada nje, Singapore ilikuwakje
 
Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure?

Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara. Wastani wa maroli 250 hadi 300 kwa siku yanayobeba makaa ya mawe tu, bado haya mengine ya mazao, mbao, mabasi, gari binafsi nk.

Ukipita hii barabara ndio unawezajua kuwa tuliwahi kuwa na viongozi au vituko. Barabara ni mbovu mno mno na Nafikiri kama ina umri mkubwa basi ni close to 20 years only. Yaani lami hata kwa mkono unaweza ifumua halafu immediately unakutana na vumbi chini yake soo sad.

Mashimo ya kufa mtu, vilaka idadi haielezeki hivi ni nini hiki jamani Tanzania yetu....! Unakuta maintenance inafanyika kipande cha kilometres 2 mwaka mzima??...? Honest.....! Kuna mengi yanafikirisha sana anyway let's be patient....as usual Watanzania ni wastahimilivu.

Huyu mama angepita hiyo barabara hata siku moja tuu nafikiri angekuwa na cha kusema.
Ccm ni laana ya taifa hili
 
Dodoma, Mpunguzi Imechombika, Mtera Mpaka Kuanza Kupanda Mlima Yaani Oops Kama Barabara Ya Kijijini
Mbona imeharibika kwa kasi hivyo, nimepita sana kati ya 2015 - 2019 (Kwa miaka 5 mfululizo) na kipindi chote hicho ilikuwa poa na tena hata usiku ukitembea alama za barabarani na mistari zilikuwa clear!!kweli tulipigwa na alafu haina hata miaka 15 maana ilifungiliwa rasmi 2016 though ilianza kutumika kabla
 
Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure?

Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara. Wastani wa maroli 250 hadi 300 kwa siku yanayobeba makaa ya mawe tu, bado haya mengine ya mazao, mbao, mabasi, gari binafsi nk.

Ukipita hii barabara ndio unawezajua kuwa tuliwahi kuwa na viongozi au vituko. Barabara ni mbovu mno mno na Nafikiri kama ina umri mkubwa basi ni close to 20 years only. Yaani lami hata kwa mkono unaweza ifumua halafu immediately unakutana na vumbi chini yake soo sad.

Mashimo ya kufa mtu, vilaka idadi haielezeki hivi ni nini hiki jamani Tanzania yetu....! Unakuta maintenance inafanyika kipande cha kilometres 2 mwaka mzima??...? Honest.....! Kuna mengi yanafikirisha sana anyway let's be patient....as usual Watanzania ni wastahimilivu.

Huyu mama angepita hiyo barabara hata siku moja tuu nafikiri angekuwa na cha kusema.
Miaka 20 mingi, hiyo barabara ilizinduliwa 2016 hivyo ina miaka kama 12 hivi tangu ianze kutumika
 
Mbona imeharibika kwa kasi hivyo, nimepita sana kati ya 2015 - 2019 (Kwa miaka 5 mfululizo) na kipindi chote hicho ilikuwa poa na tena hata usiku ukitembea alama za barabarani na mistari zilikuwa clear!!kweli tulipigwa na alafu haina hata miaka 15 maana ilifungiliwa rasmi 2016 though ilianza kutumika kabla
Kwa mtazamo wangu nadhani wakati hii barabara inajengwa, hakuna aliyefikiri Dodoma itakuwa Jiji! Malori ya mbao na makaa ya mawe yatapita kwenye barabara hiyo, nk.

Yaani kiufupi haikujengwa kwa ajili ya kuhimili mizigo mizito. Wahuni walijenga kwa ajili ya kupita magari ya kawaida tu. Maana kwa kipindi kile, barabara ya Moro Dodoma ndiyo iliyokuwa ikitumika zaidi.

Na pia tukumbuke hii barabara ilijengwa enzi za utawala wa JK! Kama sijakosea ilikamilika 2013/2014!
 
Hiyo barabara imejengwa Jiwe akiwa waziri wa ujenzi 💩 sukuma gang na wapenz wake Jiwe mnaposema jiwe lingekuepo lisingekubali nawaona wapuuzi sana...
Hiyo barabara imekuwa mbovu tangu Jiwe anakabidhiwa mamlaka, sukuma gang na wapenz wake mnaposema jiwe angekuepo angeijenga upya nawaona vilaza...
 
Pesa za kujenga Barabara hawana, ila Wana pesa za kuwalipa wasanii mamilioni ya shilingi ili tu waje kuimba kwenye matamasha yao na pesa za kukodisha malori yakubeba watu ili mikutano yao ionekane imejaza watu, na pesa za kulipa MACHAWA na wale matapeli wa dini
Kwa masikitiko makubwa huwa najiuliza hivi barabara ya Dodoma to Iringa ilijengwa kwa pesa za nani, ilijengwa bure?

Nani alikuwa mkandarasi, nani alitoa hela, nani alikagua, nani alikabidhiwa nk. Nafikiri kwa sasa moja ya barabara muhimu sana na za kimkakati kwa uchumi wa nchi ni hii barabara. Wastani wa maroli 250 hadi 300 kwa siku yanayobeba makaa ya mawe tu, bado haya mengine ya mazao, mbao, mabasi, gari binafsi nk.

Ukipita hii barabara ndio unawezajua kuwa tuliwahi kuwa na viongozi au vituko. Barabara ni mbovu mno mno na Nafikiri kama ina umri mkubwa basi ni close to 20 years only. Yaani lami hata kwa mkono unaweza ifumua halafu immediately unakutana na vumbi chini yake soo sad.

Mashimo ya kufa mtu, vilaka idadi haielezeki hivi ni nini hiki jamani Tanzania yetu....! Unakuta maintenance inafanyika kipande cha kilometres 2 mwaka mzima??...? Honest.....! Kuna mengi yanafikirisha sana anyway let's be patient....as usual Watanzania ni wastahimilivu.

Huyu mama angepita hiyo barabara hata siku moja tuu nafikiri angekuwa na cha kusema.
 
Hakuna barabara mbovu nliowahi kuiona kama hio
 
Back
Top Bottom