Kwa maslahi mapana ya mpira wetu Tanzania, kombe la FA libebwe na Azam FC

Kwa maslahi mapana ya mpira wetu Tanzania, kombe la FA libebwe na Azam FC

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Naweza nisieleweke, ila kimantiki na kimahesabu Simba, Yanga na Singida big Stars wanacheza mashindano ya CAF next season.

Wasiwasi wangu muwakilishi wa NNE itakuwa timu gani?

Kwa haraka ukipiga hesabu za ukweli utagunduwa Azam ndio atakuwa mshindani mzuri wakipata nafasi hiyo.

Hivyo Mimi naziombea Mabaya Yanga na Simba zitolewe kwenye nusu fainali ya FA ili Singida Big stars na Azzam wacheze fainali na itafanyika plan ya kuhakikisha Azam inakuwa bingwa, mpira huwa unaanzia mezani kwanza uwanjani ni kukamilisha tu.

Hii ni kwa watu wenye akili tu na mapenzi mema kwa nchi ndio wataelewa nilichoandika.
 
Kwa hiyo logo imeisha Azam na Singida tofauti ya point moja kwa hiyo una hakika Azam hawezi kumaliza nafasi ya tatu....kama hawezi basi hana vigezo vya kubeba FA...na kucheza CaF Confedaration cup akae atulie ajipange upya kujenga Timu na kuacha usimba na uyanga kwenye Timu,wechezaji wa Azam wangekuwa Simba au Yanga ingekuwa ni Timu tishio,lakini usgajiuliza wanafeli wapi?
 
Kwani hao Azam Fc wameshiriki huko mara ngapi? Kuna team umechukua ubingwa mara 28 na kupata nafasi ya kuiwakilisha nchi huko lakini hakuna cha maana ambacho imewahi kufanya. Bora hata hii team iliyopelekea sasa tunaingiza team nne (4) kwenye hayo mashindano.

Anaestahili atachukua hilo kombe la FA, hayo maswala ya maslahi ya taifa bakini nayo nyinyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naweza nisieleweke, ila kimantiki na kimahesabu Simba, Yanga na Singida big Stars wanacheza mashindano ya CAF next season.
Wasiwasi wangu muwakilishi wa NNE itakuwa timu gani?
Kwa namna yoyote ile, Simba na Yanga watashiriki CAF CL, Azam na Singida BS watashiriki CAF CC. Hakuna namna yoyote itakayowezesha timu nyingine zaidi ya hizo kushiriki michuano hiyo, hata kama Azam au Singida BS hatachukua kombe la Azam SFC. Geita Gold hata akishinda mechi zote hataifikia nafasi ya nne, pia hayumo katika AZAM SFC. Kwa ufupi haukutakiwa kuanzisha uzi huu

1681719347419.png
 
Kwa haraka ukipiga hesabu za ukweli utagunduwa Azzam ndio atakuwa mshindani mzuri wakipata nafasi hiyo.

Hivyo Mimi naziombea Mabaya Yanga na Simba zitolewe kwenye nusu fainali ya FA ili Singida Big stars na Azzam wacheze fainali na itafanyika plan ya kuhakikisha Azzam inakuwa bingwa, mpira huwa unaanzia mezani kwanza uwanjani ni kukamilisha tu.

Hii ni kwa watu wenye akili tu na mapenzi mema kwa nchi ndio wataelewa nilichoandika.
Mkuu MAPENZI peleka kwa demu wako. Tambua mpira ni uwekezaji, kama wanashindwa kupata kombe la FA hadi wapewe mezani si sawa na kwamba tunapeleka bingwa hewa kimataifa tukavune aibu.
 
Kwa namna yoyote ile, Simba na Yanga watashiriki CAF CL, Azam na Singida BS watashiriki CAF CC. Hakuna namna yoyote itakayowezesha timu nyingine zaidi ya hizo kushiriki michuano hiyo, hata kama Azam au Singida BS hatachukua kombe la Azam SFC. Geita Gold hata akishinda mechi zote hataifikia nafasi ya nne, pia hayumo katika AZAM SFC. Kwa ufupi haukutakiwa kuanzisha uzi huu

View attachment 2590749
Ni kweli kabisa, Azam na Singida watashiriki CAF shirikisho au loosers (CC) baadae watatolewa na nafasi zao atachukua Yanga kwani nae atakuwa amefurushwa toka kwa mabingwa na kuwaachia mabingwa ligi yao.
 
Naweza nisieleweke, ila kimantiki na kimahesabu Simba, Yanga na Singida big Stars wanacheza mashindano ya CAF next season.

Wasiwasi wangu muwakilishi wa NNE itakuwa timu gani?

Kwa haraka ukipiga hesabu za ukweli utagunduwa Azzam ndio atakuwa mshindani mzuri wakipata nafasi hiyo.

Hivyo Mimi naziombea Mabaya Yanga na Simba zitolewe kwenye nusu fainali ya FA ili Singida Big stars na Azzam wacheze fainali na itafanyika plan ya kuhakikisha Azzam inakuwa bingwa, mpira huwa unaanzia mezani kwanza uwanjani ni kukamilisha tu.

Hii ni kwa watu wenye akili tu na mapenzi mema kwa nchi ndio wataelewa nilichoandika.
Upuuzi......Mpira hauko hivyo
 
Ni kweli kabisa, Azam na Singida watashiriki CAF shirikisho au loosers (CC) baadae watatolewa na nafasi zao atachukua Yanga kwani nae atakuwa amefurushwa toka kwa mabingwa na kuwaachia mabingwa ligi yao.
Mabingwa au wasindikizaji bora tu kama Arsepimbi ya UK kwenye UEFA champions league?
 
Ushaanza kuogopa[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naweza nisieleweke, ila kimantiki na kimahesabu Simba, Yanga na Singida big Stars wanacheza mashindano ya CAF next season.

Wasiwasi wangu muwakilishi wa NNE itakuwa timu gani?

Kwa haraka ukipiga hesabu za ukweli utagunduwa Azzam ndio atakuwa mshindani mzuri wakipata nafasi hiyo.

Hivyo Mimi naziombea Mabaya Yanga na Simba zitolewe kwenye nusu fainali ya FA ili Singida Big stars na Azzam wacheze fainali na itafanyika plan ya kuhakikisha Azzam inakuwa bingwa, mpira huwa unaanzia mezani kwanza uwanjani ni kukamilisha tu.

Hii ni kwa watu wenye akili tu na mapenzi mema kwa nchi ndio wataelewa nilichoandika.
Acha unaaa, mpira ni mbinu na uwezo. Hao unaowasema wangekuwa mabingwa ama wa pili or watatu
 
Back
Top Bottom