Kwa maslahi mapana ya soka, TFF mfungieni Haji Manara

Kwa maslahi mapana ya soka, TFF mfungieni Haji Manara

Yaani ukitaka kujua manara ni kirusi mpaka kwenye issue nyeti angalia kwenye hili sakata la kupigwa shabiki wa coastal union yaani yule ndo angekuwa shabiki wa yanga manara angepost na kuandika maneno ya kejeli ila kwasababu ni coastal union amejikausha kama sio yeye manara ni kirusi kwenye soka letu ukiachana na uhamasishaji ana hasara nyingi kuliko faida kwa sasa .
 
Kufuatia mfululizo wa matukio yake ya kupishana maneno na watu wanahabari, wadau wa soka mbalimbali, sasa ni vyema TFF ikampeleka jela ya kabumbu Bw.Haji,

Na hata CAF nao wanapaswa wawazuie mashabiki wa Yanga kuungia kiwanjani ktk mechi za hatua ya awali ya michuano ya klabu bingwa Afrika hii ni muhimu sana maana hawa wanaojiita wananchi eti hawataki mtu yeyote avae nguo yenye rangi nyekundu basi wapigwe Ban ili washike adabu.

Wapuuzi sanaa hawa mashabiki walio mpiga mwenzao hadi kudaiwa kupatwa na umauti
Hawana ushahidi wa kumfungia haji vinginevyo na katia nae afungiwe
 
As if Haji akifungiwa utajenga hekalu, roho mbaya na chuki na jeuri ,kiburi ngozi nyeusi baaana tuko na shida sana
 
Jambo baya za kutoka kwa zeruzeru ni kuleta mifarakano na visasi katika mchezo wa soka amesahau kuwa mpira ni ushindani wa furaha sio chuki haina ya makundi.
 
As if Haji akifungiwa utajenga hekalu, roho mbaya na chuki na jeuri ,kiburi ngozi nyeusi baaana tuko na shida sana
Ww kweli una matatizo, kwan akina Blatter walipofunhiwa je walifunhiwa na nhozi nyeusi ?

Ukikosea lzm adhabu ikufikie ..na ndio maana Tff wameliona ilo ...na akifungiwa itakuwa sio mar ya kwanza
 
Haji ata uki msimamisha bado atafanyakazi kama mwandishi wa habari. Ni kama Shafii Dauda anaendelea na kazi zake licha ya kufungiwa.
Haji ni mwandishi wa habari wa kituo gani ?
 
Back
Top Bottom