MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Mabingwa na watu wao hawafungiwi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana ushahidi wa kumfungia haji vinginevyo na katia nae afungiweKufuatia mfululizo wa matukio yake ya kupishana maneno na watu wanahabari, wadau wa soka mbalimbali, sasa ni vyema TFF ikampeleka jela ya kabumbu Bw.Haji,
Na hata CAF nao wanapaswa wawazuie mashabiki wa Yanga kuungia kiwanjani ktk mechi za hatua ya awali ya michuano ya klabu bingwa Afrika hii ni muhimu sana maana hawa wanaojiita wananchi eti hawataki mtu yeyote avae nguo yenye rangi nyekundu basi wapigwe Ban ili washike adabu.
Wapuuzi sanaa hawa mashabiki walio mpiga mwenzao hadi kudaiwa kupatwa na umauti
Ww kweli una matatizo, kwan akina Blatter walipofunhiwa je walifunhiwa na nhozi nyeusi ?As if Haji akifungiwa utajenga hekalu, roho mbaya na chuki na jeuri ,kiburi ngozi nyeusi baaana tuko na shida sana
Haji ni mwandishi wa habari wa kituo gani ?Haji ata uki msimamisha bado atafanyakazi kama mwandishi wa habari. Ni kama Shafii Dauda anaendelea na kazi zake licha ya kufungiwa.