Kwa matokeo haya Anaweza kupata nafasi

Kwa matokeo haya Anaweza kupata nafasi

Chizy Za kitaa

Senior Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
167
Reaction score
13
Wadau polen na kaz..mdogo wangu amehtmu form4 2012 alipata dv4 points 26 sasa anahtaj asome kozi za afya..
civ_D
hist_C
kisw_C
eng_D
geo_D
bios_D
chem_D
b/math_F
Je! kwa matokeo haya akiomba nafac wizara ya afya anaweza akachaguliwa?
 
mbona physics siioni kama hakufanya hapati nafasi.Zinatakiwa D-3
Phy-D
Chem-D
Bios-D
hapa ndio atapata nafasi
 
Back
Top Bottom