Kwa matokeo haya anaweza kusoma Kozi gani za Afya?

Kwa matokeo haya anaweza kusoma Kozi gani za Afya?

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Wakuu poleni na majukum,

Nimeombwa ushauri hapa nikaona nililete kwenu maana humu kila kila aina ya wabobezi.

Huyu kina anataka asome kozi za afya na matokeo yake ni haya :

PHYSICS. " F"
CHEMISTRY " B"
BIOLOGY. "C"
MATHEMATICS "C"
ENGLISH " B"

Kiujumla ana Division Two ya point 19.
 
Wakuu poleni na majukum,

Nimeombwa ushauri hapa nikaona nililete kwenu maana humu kila kila aina ya wabobezi.

Huyu kina anataka asome kozi za afya na matokeo yake ni haya :

PHYSICS. " F"
CHEMISTRY " B"
BIOLOGY. "C"
MATHEMATICS "C"
ENGLISH " B"

Kiujumla ana Division Two ya point 19.
Kikwazo ni F ya physics
 
Back
Top Bottom