Kwa matokeo haya atasoma chuo kikuu??????

Kwa matokeo haya atasoma chuo kikuu??????

Nadhani hujanielewa mkuu...hoja yangu hapa ni kwamba kwa matokeo ya division three ni ngumu kupata udahili kwa kozi nyingine zaidi ya ualimu.
nimejaribu kutoa uhalisia wa mambo na si kuonesha dharau kwa fani ya ualimu.
anaweza bahatisha kupata udahili kwenye kozi tofauti na ualimu ila sera ya serikali ni kwamba walio eligible kupata mkopo ni waliopata div 1 na 2 bila kujali unasoma kozi gani na div 3 kwa wanaosoma ualimu.
dhambi yangu kama ipo kwenye kutoa taarifa hapo nitakubali mkuu

Well said SANGALA ubarikiwe
 
Ndugu yangu huo ndio uhalisia wenyewe!! Kwa nini unabishana na ukweli. Tafuta mwalimu yoyote tanzanina umuulize alienda kusoma ualimu kwa nini? Asilimia kubwa, zaidi ya 95% walienda ualimu baada ya kupata lower grades katika ngazi husika ya mtiani i.e Form 4 au f6. Hata kama wewe pia ni mwalimu, pia ulikuwa umepata lower grades huo ndo ukweli.
Wewe ungekuwa tayar na higher grades zako, ukasome taaluma ambayo baada ya hapo unapelekwa mahala unakaa ofisini, viti ni mianzi imelazwa kwenye magogo wakati unaweza kusomea taaluma ambayo utafanya kazi kwenye kiyoyozi??? To be honest ungekubali hilo?
Hakuna mtu anayependa kuishi maisha magumu, so hakuna mtu yupo tayar kusoma kitu kinacho muhakikishia maisha magumu katika mazingira magumu.

mkuu unankumbusha wakati wa gradu yetu mgeni rasmi wakati anatupongeza alisema,hongereni kwanza kwa kuchagua kozi ambayo mazingira ya kazi sharti kuwe na umeme,pili komputa na kalculator,tatu kukaa na hela au kusaini ela za wenzio! Jaman uhasibu raha,hatufanyi kazi pasipo na nishati. Hata ukiambia uende tandaimba lazima ni tandaimba mjini au center au wilayani. Ila mwl,dk,afsa mifugo,mfuga nyuki,au kilimo raaraahraah,kule ndaniii,remoteee! Du! Kumbe success begins with choice! Natania wakuu!japo ni utani ukweli. Gudnit wanajamvi!
 
Wana jamvi, mimi nina div 2 ya 12 HKL,(d,d,d). Nania ya kusoma udsm, je n kwa koz ipi kat ya hizi naweza kupata! PSPA,LAW,INTERNATIONAL RELATION na koz zngine zenye tija.
Na kama mna ushaur wa ziada ndugu zangu..

internation relations Udsm hakuna labda Udom.pspa,law ni ngumu kupata udsm(au una enforcement mechanism?
 
internation relations Udsm hakuna labda Udom.pspa,law ni ngumu kupata udsm(au una enforcement mechanism?
hapana sina! Je unanishaur coz zip kuna possibility ya kupata udsm kwa hzo point, na vp udom kwa upande wa pili!
 
Back
Top Bottom