Unapataaaa mkuuKhabari za wakati huu wakuu, wakuu nilikuwa naomba ushauri wenu maana nataka kutuma maombi DIT nikasome diploma in biomedical equipment engineering.
Je kwa ufaulu wangu huu naweza kuchaguliwa kweli!?
O-level.
Biology-B.
Physics-B
Chemistry-B
Mathematics-C
Geography-C
History-C
English-B
Kiswahili-B
Civics-C.
A-level
Physics-E
Chemistry-C
Biology-E
Bam-E
General study-E.
Wakuu, naombeni ushauri wenu katika hili maana bado nipo njiapanda.
Shukrani Sana mkuuUnapataaaa mkuuView attachment 1556079
Ila ombaaaaShukrani Sana mkuu
Una point 4 ((C=3(+(E=1)=(CE=4). Unaruhusiwa kuomba lakini issue niushindani (ufaulu wa waombaji na nafasi zilizopo), kwa kuwa ufaulu wako ni wa chini nina wasi wasi kama utapata. Hivyo omba DIT pamoja na vyuo vingine visivyokuwa na ushindani mkubwa kutegemea na degree gani unatafuta.Wakuu, naombeni ushauri wenu katika hili maana bado nipo njiapanda.
Shukrani mkuu lakini nilikuwepo nahitaji kusomea diploma in biomedical equipment engineering na siyo degree mkuu wangu.Una point 4 ((C=3(+(E=1)=(CE=4). Unaruhusiwa kuomba lakini issue niushindani (ufaulu wa waombaji na nafasi zilizopo), kwa kuwa ufaulu wako ni wa chini nina wasi wasi kama utapata. Hivyo omba DIT pamoja na vyuo vingine visivyokuwa na ushindani mkubwa kutegemea na degree gani unatafuta.
Sorry nilimis hiyo point ya diploma. Kama ni hivyo then omba naamini una nafasi nzuri lakini chagua vyuo kama 3-4 hivi. Naamini utapata.Shukrani mkuu lakini nilikuwepo nahitaji kusomea diploma in biomedical equipment engineering na siyo degree mkuu wangu.
Shukrani Sana mkuu. Mungu akubariki Sana mkuu. Nitajaribu na muhimbili kuomba diploma in diagnostic radiography mkuu na Bugando pia diploma in diagnostic radiography.Sorry nilimis hiyo point ya diploma. Kama ni hivyo then omba naamini una nafasi nzuri lakini chagua vyuo kama 3-4 hivi. Naamini utapata.
Khabari za wakati huu wakuu, wakuu nilikuwa naomba ushauri wenu maana nataka kutuma maombi DIT nikasome diploma in biomedical equipment engineering.
Je kwa ufaulu wangu huu naweza kuchaguliwa kweli!?
O-level.
Biology-B.
Physics-B
Chemistry-B
Mathematics-C
Geography-C
History-C
English-B
Kiswahili-B
Civics-C.
A-level
Physics-E
Chemistry-C
Biology-E
Bam-E
General study-E.
Wakuu, naombeni ushauri wenu katika hili maana bado nipo njiapanda.
Dunian huku Vyeti sio issue saana,And yet I passed the exams than you. How about that.
Weka matokeo Yako ya A-level tukuone. NaweweKijana unaonekana ulikuwa hausomi kabisa
Unapata bila wasiwasi ndugu mi niliwahi kuomba nikapata Ila sikwenda Ila nna cha ziada ikikupendeza badilisha picha weka mwengine Huyo jamaa aliitangazia dunia kwamba ni shoga..kama huungi mkono mtoe ikikupendeza lakiniKabisa mkuu.