Kwa matokeo haya nitafanikiwa kwenda Advance?

Hata mim binafs sioni umuhimu wa kwenda A level, ila kelele nying huku mtaani et uspoenda A unaomekana kilaza[emoji3526][emoji3526]
Sasa unakubali kuendeshwa na maneno ya watu haliyakuwa maisha ni yako? Jitafakari
 
Mkuu ulifanikiwa kwenda Mbona matokeo yako vizuri kabisa na una vigezo vyote pia comb imebalance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…