Kwa matokeo haya ya HKL anaweza pata University Admission?

Kwa matokeo haya ya HKL anaweza pata University Admission?

Anaweza kupata.

Apply Chuo cha Maji (Water Institute) Ubungo.

Wana course mpya wameianzisha mwaka huu inaitwa Bachelor Degree in Community Development and Water Resources Management.
 
HAWEZI KUPATA. DEGREE lazima uwe na principal passes 2 yaani D mbili. Hata angekua na A moja na zingine E hawezi pata.
"A"moja na "E" anapata chuo kikuu mkuu. Kwani E sio principal.

Au wewe unaelewa nini kuhusu principal pass.
 
nipo Coict.nilipata BCE.phy C chem B adv Math E.ningelikuwa na D Ya physics nisingelipata nafasi hapa chuoni kwa hii kozi.kuna vijihesabu unatakiwe uvipige iliuweze kuendana na taratibu zao za cut off ya 4 kwa 2core subjects.hoja yako hapo juu kidogo haikuwa sawa huyo mwenye cee nafasi chuo anayo ila changamoto itakuja kwenye kozi gani anataka kusoma(4pts frm 2core subjs) chuo gani na ushindani upoje.pamoja bro
 
Niko serious kuliko unavyo waza, kama chuo ni majengo tu hapo sina neno ila nimekwambia TEKU imekuwa ikizalisha walimu wazuri sana kuliko UDSM haswa kwa miaka ya nyuma labda nisijue leo na hili jambo siliongei kwa mihemko bali kwa kufuatilia nikiwa na sababu maalumu zilizo nisukuma kufuatilia jambo hili.
Usituchoshe bwana, ukweli mwenyewe unaujua ila umeamua kujitoa ufahamu.
 
nipo Coict.nilipata BCE.phy C chem B adv Math E.ningelikuwa na D Ya physics nisingelipata nafasi hapa chuoni kwa hii kozi.kuna vijihesabu unatakiwe uvipige iliuweze kuendana na taratibu zao za cut off ya 4 kwa 2core subjects.hoja yako hapo juu kidogo haikuwa sawa huyo mwenye cee nafasi chuo anayo ila changamoto itakuja kwenye kozi gani anataka kusoma(4pts frm 2core subjs) chuo gani na ushindani upoje.pamoja bro
Sasa huoni hapo tayari princples unazo C na B hata kama kwenye somo husika una E
 
Sasa huoni hapo tayari princples unazo C na B hata kama kwenye somo husika una E
nitakufahamisha ili uwe msaada kwa wengine bro.mfano bsc in telecom eng cut off point ni 4 kwa masomo mawili ambayo wanaita core subjects ambayo ni hesabu na physics basi.chemistry weka pembeni angalia taratibu zilizowekwa kwenye creteria utaona maajabu.mtu amepata phy E chemistry A adv math D hapo ndio utafahamu ninacho sema hana sifa huyu mtu kwa kozi hii.Hivyo basi kwa utaratibu uliopo hakikisha kozi unayoomba only 2core subjects upate jumla ya point4 na si vinginevyo.hii mifumo ya udahili inareject your application process kama sifa tajwa huna utapoteza fedha bure mwamba.
 
Habari!

Poleni na majukumu ya kila siku. Nina ndugu yangu amemaliza form 6 mwaka huu kama private candidate na amepata C ya historia, E ya kiswahili na E ya kiingereza.

Je, kwa matokeo haya anaweza pata university admission?

Maoni yenu tafadhali.
Unamsingizia ndugu yako kwann?
 
E ni pass na siyo principle pass, kwa mujibu wa Tcu principle pass ni D ambayo inakupa point 2
Elimika kidogo ndugu.
JamiiForums-913184006.jpg
 
E ni pass na siyo principle pass, kwa mujibu wa Tcu principle pass ni D ambayo inakupa point 2
Mkuu najua umeandika kwa mujibu wa ufahamu wako wa sasa. Lakini ulichokiandika hakina ukweli, amini nakuambia.

Na pengine ikiwa kuna kijana unampa ushauri kuna mengi utam-mislead.

E ni principal pass tokea enzi na enzi.
 
Back
Top Bottom