Kwa matukio haya sioni uzalendo na utetezi wa wanyonge wa hayati. Dkt. Magufuli

Kwa matukio haya sioni uzalendo na utetezi wa wanyonge wa hayati. Dkt. Magufuli

Najua nitatukana na machawa ya mwendazake lakini ukweli lazima usemwe

Je, uzalendo na utetezi kwa wanyonge aliojiita mwendazake upo wapi kama haya aliweza kuwatendea hao hao wanyonge?

1. Kuwadanganya kuwa tutalipwa kodi ya tril. 360 za Barrick kumbe ni kanyaboya?

2. Fedha za plea bargain kutoonekana na kufunguliwa acc wakati hizo fedha zingetumika kuwahudumia wananchi wanyonge aliodai anawapigania.

Je, uzalendo wake ni upi?

View attachment 2502122View attachment 2502129View attachment 2502131
Subiri matusi toka kwa vimada wa marehemu dhalim
 
Najua nitatukana na machawa ya mwendazake lakini ukweli lazima usemwe

Je, uzalendo na utetezi kwa wanyonge aliojiita mwendazake upo wapi kama haya aliweza kuwatendea hao hao wanyonge?

1. Kuwadanganya kuwa tutalipwa kodi ya tril. 360 za Barrick kumbe ni kanyaboya?

2. Fedha za plea bargain kutoonekana na kufunguliwa acc wakati hizo fedha zingetumika kuwahudumia wananchi wanyonge aliodai anawapigania.

Je, uzalendo wake ni upi?

View attachment 2502122View attachment 2502129View attachment 2502131
Mwenyewe umeshajitilia shaka. Yaani kwa hayo mawili hata mwenyewe hujayaeleza sawa ndio uzalendo wa magufuli uwe hakuna? Kwani mwenyewe hujui orodha ndefu kupindukia ya mambo aliyofanya Magufuli? Mwenyewe mama anafeli kwenye jaribio lake kumsaliti.
Wewe bila shaka utakua wale fisadi wahuni magufuli aligeuza maisha yenu jehanamu.
 
2. Fedha za plea bargain kutoonekana na kufunguliwa acc wakati hizo fedha zingetumika kuwahudumia wananchi wanyonge aliodai anawapigania.
Mzigo upo China Chief - ni sisi kuamua kuufuata tu.
 
Back
Top Bottom