BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Ukiwa nje aikuumi
Ila ukiwa ndan ya uwanja utaelewa upuuzi na ujinga uuvumilie ama umalizane na refa
Hapo nyuma wachezaji wa yanga kadhaa walipiga mwamuzi pamoja na kukimbia bado aliyapata aliyoyataka
Kwamatukiio ya refa wa mechi mbili za simba hapo nyuma na huyu ea yanga jana sina budi kusema tff iruh refa kupigwa pale anapofanya ujinga uwanjan
Hili la jana nimebaki mdomo wazi kabisa mpita unachukuliwa kichwan kwa mtu mwamuzi msaidizi anaita kona na inapigwa kona
Nilitarajia ama aseme goli ama goalkick kwa style hii tuna kazi kubwa mbele na marefa wetu
Swali moja najiuliza
Je wanalipwa pesa zao mda muafaka
Je wanalipwa pesa stahiki sawa na kazi zaoo
La tatu kesho ntakwambia
Ila ukiwa ndan ya uwanja utaelewa upuuzi na ujinga uuvumilie ama umalizane na refa
Hapo nyuma wachezaji wa yanga kadhaa walipiga mwamuzi pamoja na kukimbia bado aliyapata aliyoyataka
Kwamatukiio ya refa wa mechi mbili za simba hapo nyuma na huyu ea yanga jana sina budi kusema tff iruh refa kupigwa pale anapofanya ujinga uwanjan
Hili la jana nimebaki mdomo wazi kabisa mpita unachukuliwa kichwan kwa mtu mwamuzi msaidizi anaita kona na inapigwa kona
Nilitarajia ama aseme goli ama goalkick kwa style hii tuna kazi kubwa mbele na marefa wetu
Swali moja najiuliza
Je wanalipwa pesa zao mda muafaka
Je wanalipwa pesa stahiki sawa na kazi zaoo
La tatu kesho ntakwambia