Umejibu kijinga kabisa bora ungepita kimyaUmeandika utumbwo.
Kwahiyo raisi asikosolewe na mtu ambaye hajawahi kuwa raisFanya kwanza alivyofanya, miliki anachomiliki, toa mchango kwa jamii yake iliyomzunguzka kama anavyotoa kabla ya kuanza kumuhukumu. Bomboclat!
Hujqjibu swali mkuuUnakomaa sana ku-create ID hapa JF kwa thread uchwara kila dakika,tatizo la members wa JF wakikushtukia watakudharau mazima hata siku ukiwa na hoja ya msingi.
Umeandika utumbwo.
Mkuu elimu hiyo hana.......Ajui kuwa pyfyume mikoa mingine siyo kipao mbele......Akitaka kumake hela aifanye hiyo ndo label kake kwa kila bidhaa inahusiana na bodycare.
- Chibu shaving cream
-Chibu baby diapers
-Chibu detergent
-feminine hygiene products
etc
atapiga hela hadi ataweka pembeni muzic
Umejibu kijinga kabisa bora ungepita kimya
We umeandika makalio jibu hoja sio unaongea kama bashite
Du kweli watu na vichwa. Sasa hapo ni madhara gani yanawezwa kuletwa. Pigana wivu wa kurudishana nyuma sio nzuri. Ni aibuNajuwa wapo watu watakuja kunishambulia lakini Mimi kama nasimama kwenye ukweli huwa siogopi kushambuliwa hata kwa risasi.
Wote tunajuwa matumizi ya perfyumu na sidhani kama huwa kuna perfume inayotumiwa kama chakula. Sasa namshangaa kijana mwenzetu ambaye baada ya kuja na product inayokwenda kwa jina LA CHIBU nimekuwa nikishuhudia kwenye baadhi ya picha zake akiwa ameiweka mdomoni sasa nashindwa kuelewa kwamba hiyo perfume nayo inaweza kuliwa kama chakula pia?
Kwa wataalam Wa afya wanajua madhara yake hivyo wanaweza wakatoa msaada hapa kwa faida ya wengi.
Karibuni
View attachment 505746 View attachment 505747
Yeah UTUMBWOutumbwo?
nipo na Salam hapa tushachukua wazo lako,asante sana
Akitaka kumake hela aifanye hiyo ndo label kake kwa kila bidhaa inahusiana na bodycare.
- Chibu shaving cream
-Chibu baby diapers
-Chibu detergent
-feminine hygiene products
etc
atapiga hela hadi ataweka pembeni muzic