Kwa matumizi Haya ya perfume huyu jamaa tumuite mjanja au mshamba?

Kwa matumizi Haya ya perfume huyu jamaa tumuite mjanja au mshamba?

Fanya kwanza alivyofanya, miliki anachomiliki, toa mchango kwa jamii yake iliyomzunguzka kama anavyotoa kabla ya kuanza kumuhukumu. Bomboclat!
Kwahiyo raisi asikosolewe na mtu ambaye hajawahi kuwa rais

Umemanisha nin kwa andishi lako
 
Unakomaa sana ku-create ID hapa JF kwa thread uchwara kila dakika,tatizo la members wa JF wakikushtukia watakudharau mazima hata siku ukiwa na hoja ya msingi.
Hujqjibu swali mkuu
 
Akitaka kumake hela aifanye hiyo ndo label kake kwa kila bidhaa inahusiana na bodycare.
- Chibu shaving cream
-Chibu baby diapers
-Chibu detergent
-feminine hygiene products
etc
atapiga hela hadi ataweka pembeni muzic
Mkuu elimu hiyo hana.......Ajui kuwa pyfyume mikoa mingine siyo kipao mbele......
 
We umeandika makalio jibu hoja sio unaongea kama bashite

Kwasabanu ndivyo ulivyo, so unafikiri nami kama wewe. Unaumia nini na yangu, ungepita kimya, usinipangie cha kuandika.
 
Anaweka picha ya kuvuta attention na kwa uzi huu amefanikiwa kupitia wewe mleta mada
 
Najuwa wapo watu watakuja kunishambulia lakini Mimi kama nasimama kwenye ukweli huwa siogopi kushambuliwa hata kwa risasi.
Wote tunajuwa matumizi ya perfyumu na sidhani kama huwa kuna perfume inayotumiwa kama chakula. Sasa namshangaa kijana mwenzetu ambaye baada ya kuja na product inayokwenda kwa jina LA CHIBU nimekuwa nikishuhudia kwenye baadhi ya picha zake akiwa ameiweka mdomoni sasa nashindwa kuelewa kwamba hiyo perfume nayo inaweza kuliwa kama chakula pia?

Kwa wataalam Wa afya wanajua madhara yake hivyo wanaweza wakatoa msaada hapa kwa faida ya wengi.

Karibuni
View attachment 505746 View attachment 505747
Du kweli watu na vichwa. Sasa hapo ni madhara gani yanawezwa kuletwa. Pigana wivu wa kurudishana nyuma sio nzuri. Ni aibu
 
Hivi hapo ameiweka mdomoni au anaibusu?! Wewe unapombusu mtu na shavu/lips/paji la uso wako kuwa sambamba na mdomo wako kwani huyo mtu/shavu ni chakula?! Na hayo madhara ya kuibusu chupa ni yapi?!
 
kuna mzazi anasema ana kijana wake ana akili kweli. Eti ndo wewe 😀😀😀
 
Back
Top Bottom