Kwa matumizi Haya ya perfume huyu jamaa tumuite mjanja au mshamba?

mbona unahangaika uko period??
 
Huu mchezo wa kujifanya mnajua sana kizungu mtakuja kuandika matusi hivi hivi bila kujifahamu.
kumbe na wewe umeona, nimesoma mara nyingi bila kuelewa, ndio nikaja kugundua kuwa kachanganya lugha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…