son of king john2
Senior Member
- Jan 11, 2014
- 131
- 33
SMART PHONE.....Ni kitu kiziru.......tena cha mhm unaweza tumia kusoma, unaweza fanya socialization ...kukamilisha mawasiliano na ndugu jamaa na marafiki;;;;pia kuna kurekod matukio muhimu katika maisha kwa kupiga picha au kunasa sauti lakini pia unaweza chukua video......ni matumizi mazuri ya SMART PHONE na hata smu ya kawaida kama ina uwe kufanya hivo ni matumizi mazuri ....Ila sasa kuna matumizzi ambayo kwa kweli ni ujinga kama si ulimbukeni wa smart.........phone'''' YANI MTU UNA AKILI TIMAMU UNAPIGA PICHA MAITI NA KUANZA KUTUMA KWENYE MITANDAO YA KIJAMIII ETI FULANI AMEKUFA NA PICHA YAKE AKIWA AMEKUFA HII HAPA .....TENA BAHATI MBAYA unakuta huo mwili hata haujafunikwa .Huko ni kujidharirisha na kuonyesha uwezo wako mfupi katika kufikiri.......cha ajabu mwingine anakutana na picha kama hiyo instagram au FACEBOOK ana LIKE''''jamani huko ni kujitia AIBU....ulimbukeni mwingine ni kutumia SMART kurekod matukio yako ya kimapenzi na mpenzi wako ikiwemo picha za uchi na kuamua kuzituma katika SOCIAL NETWORKS.......YANI UNAONA NI SAHIHI KABISA KUMPIGA MPENZI WAKO PICHA MKIWA KATIKA KUFANYA STAREHE HIYO YENYE KUHITAJI HESHIMA nakuamua kutuma kwenye mitandao....ili upewe nini?maana wenzako wanaocheza picha za ngono ni ajira yao!!! Au na wewe umeajiliwa na whwtsapp na instagram kuwatengenezea picha za uchi????????????jaman tujiheshimuni ni UJINGA na ULIMBUKENI HUO.....Tena ikibidi tabia hii tuiche jamani ....au ndugu zangu wana jf HII TABIA YA MATUMIZI MABAYA YA HIZI SIMU ZETU NA MITANDAO YA KIJAMII MNAZICHUKULIAJE mnisidie mawazo tafadhali