Kwa 'matusi" haya nampongeza Manji!

Kwa 'matusi" haya nampongeza Manji!

anayejua atupe umiliki wa uchumi supermaket -- nachojua mimi inamilikiwa na wakenya na some shares ni serikali. hivi tuna kitu kama hiki sisi wabongo?
 
anayejua atupe umiliki wa uchumi supermaket -- nachojua mimi inamilikiwa na wakenya na some shares ni serikali. hivi tuna kitu kama hiki sisi wabongo?
Mwalimu aliwajengea RTC kila mkoa lakini kwa ukichwa maji mkaua....wenzenu wameendelea kuviboresha leo mwavitamani...:A S-coffee:
 
bora hata kaama wameiba wziwekeze nchini na si o kuzipeleka kwenye mabenki huko SA
 
Back
Top Bottom