Kwa 'matusi" haya nampongeza Manji!

anayejua atupe umiliki wa uchumi supermaket -- nachojua mimi inamilikiwa na wakenya na some shares ni serikali. hivi tuna kitu kama hiki sisi wabongo?
 
anayejua atupe umiliki wa uchumi supermaket -- nachojua mimi inamilikiwa na wakenya na some shares ni serikali. hivi tuna kitu kama hiki sisi wabongo?
Mwalimu aliwajengea RTC kila mkoa lakini kwa ukichwa maji mkaua....wenzenu wameendelea kuviboresha leo mwavitamani...:A S-coffee:
 
bora hata kaama wameiba wziwekeze nchini na si o kuzipeleka kwenye mabenki huko SA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…