Kwa mazingira haya bado kuna mtu anasema matumizi ya V8 ni anasa hapa Tanzania

Kwa mazingira haya bado kuna mtu anasema matumizi ya V8 ni anasa hapa Tanzania

Hayo ni matumizi mabaya ya V 8 na kodi zetu! Kuna gari rasmi za field kwa barabara za aina hiyo! Hapa anariharibu kwa makusudi ili apate kisingizio cha kulikopa. Lifuatilie kwa makini hilo gari kama mwakani huta kuta analimiki ni mali yake binafsi!
serikalini uhai wa gari ni miaka 3- linauzwa
 
Simu ya macho matatu amenunua kwa pesa yake mwenyewe, hayo ma v8 yamenunuliwa kwa kodi ya wananchi. Hivyo, solution si wao kutembelea V8 ila ni kutengeneza miundombinu hata mwenye passo naye apite
nani alisoma kwa hela yake mwenyewe- wote mlioko humu ndiyo maana mnadharau mama zenu na kusema mko hapo kwa sababu ya wake zenu
 
nani alisoma kwa hela yake mwenyewe- wote mlioko humu ndiyo maana mnadharau mama zenu na kusema mko hapo kwa sababu ya wake zenu
Hiyo sio obligation kuwalipia. Kodi ni ela ya mwanancho hivyo hao wanasiasa wanapaswa kutatua changamoto sio wao kujinunulia V8 kuzikimbia.
Mawazo yako ni sawa na baba mwenye nyumba anayekula bar na hotelin akidai kuwa hali nyumbani kwasababu kila siku wanapika matembele badala abebe nyama aipeleke nyumban ili kila mtu afaidi.
 
Kila gari na mahali pake na kazi yake. Hiyo clip ina magari mawili umeona jinsi kila moja lilivyopita hiyo njia? Hilo jeupe ndio ideal kwa mazingira hayo

Huyo RC hakutakiwa kwenda na V8 lake huko, angeazima mkonga aende nao na infant hakutakiwa kuwa na hilo V8 in the first place
 
Hiyo sio obligation kuwalipia. Kodi ni ela ya mwanancho hivyo hao wanasiasa wanapaswa kutatua changamoto sio wao kujinunulia V8 kuzikimbia.
Mawazo yako ni sawa na baba mwenye nyumba anayekula bar na hotelin akidai kuwa hali nyumbani kwasababu kila siku wanapika matembele badala abebe nyama aipeleke nyumban ili kila mtu afaidi.
siyo obligation ya nani? naomba nisaidie
 
Huna akili kwahiyo wanachi nao, wagonjwa nao, wanafunzi nao wapite na V8 ? Serikali inagawa V8 kwa watu wote? Solution hapo ilikua ni kujenga standard road ambayo ni rafiki kwa watumiaji wote shwine wewe au unadhani nani anapswa kujenga barabara kama sio serikali ambayo inakwepa majukumu yake nakukimbilia V8.
sijui kama unajua majukumu ya serikali maana naona kama unachanganya majukumu na matamanio yako
 
siyo obligation ya nani? naomba nisaidie
Ela yangu si lazima nimsaidie ndugu, watu ambao inapaswa kuwasaidia ni mke wanangu na wazazi, hao wengine ni hisani maana ni pesa yangu mwenyewe si kodi.
Turudi kwenye hoja yako ya V8. Solution ya barabra mbovu ni wao kutafuta v8 4wd au kuhakikisha wanatengeneza barabra hizo zisiwe mbovu? Au ndio African way of solving problems. Mafuta ya gari yanachamganywa na ya taa. Soln, omgeza bei ya mafuta ya taa yawe ghali kuliko petrol. 😁
 
Ela yangu si lazima nimsaidie ndugu, watu ambao inapaswa kuwasaidia ni mke wanangu na wazazi, hao wengine ni hisani maana ni pesa yangu mwenyewe si kodi.
Turudi kwenye hoja yako ya V8. Solution ya barabra mbovu ni wao kutafuta v8 4wd au kuhakikisha wanatengeneza barabra hizo zisiwe mbovu? Au ndio African way of solving problems. Mafuta ya gari yanachamganywa na ya taa. Soln, omgeza bei ya mafuta ya taa yawe ghali kuliko petrol. 😁
Undhani umefika hapo kwa akili zako na uwezo wako? Umesoma kwa mkopo hata kama unaulipa kwa uchungu usingekopeshwa usingemaliza hata la saba acha ubinafsi- kama unataka wena na kujali anza wewe kwa kuwasidia ndugu zako wa damu
 
sijui kama unajua majukumu ya serikali maana naona kama unachanganya majukumu na matamanio yako
Kiazi kweli kweli, Moja ya kazi kubwa ya Serikali ni kukusanya kodi na hizo kodi zinapaswa kutumika kuboresha huduma za kijamii ikiwemo barabara, Hizo v8 ni Luxury na hazina mchango wowote zaidi yakutuongezea mzigo wa madeni kwenye mikopo ya kimataifa na Inflation.
 
Back
Top Bottom