comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
- Thread starter
- #21
hiyo gari ni 400M unatengeneza barabara kwa hela hiyo?Akili Gani hizi sasa, kwa io badala ya kutengeneza barabara ili wananchi wapite solution ni kununua ma v8 sio.. kwa io raia nao wajichange wanunue V8 ili wapite hapo kwenda makwao sio?
Ungekua karibu ningekuchapa vibao