Abdideol
Member
- Jul 21, 2022
- 13
- 6
Hivi sensa itamuhesabu vipi yule Mtu anayelala Darajani Salenda au kwenye Mabaraza pale Manzese? 🤔
Ikiwa tunasema ni sensa ya watu na makazi?
Na itakuaje kuhusu bajeti ya mtu huyu baada ya yeye kutokuhesabiwa kwa kuwa hana makazi maalumu na darajani pale au sokoni ambapo anapatikana wakati wa usiku hapakuwekwa postikodi kwa maana ya makazi maalumu?
Vipi ikiwa siku za usoni mtu huyu atapata watoto inakuaje bajeti ya mtu huyu?
Ikiwa tunasema ni sensa ya watu na makazi?
Na itakuaje kuhusu bajeti ya mtu huyu baada ya yeye kutokuhesabiwa kwa kuwa hana makazi maalumu na darajani pale au sokoni ambapo anapatikana wakati wa usiku hapakuwekwa postikodi kwa maana ya makazi maalumu?
Vipi ikiwa siku za usoni mtu huyu atapata watoto inakuaje bajeti ya mtu huyu?