Acha uongo nipo kwenye kamati ya sensa mzee hakuna kitu cha dodoso lao na hakuna sensa itakayo hesabiwa Usiku hao wanao lala mabarabarani huwa wanapatikana usiku tuu na si mchana so jaribu kuwa na majibu na kauli nzuri kwa mtu anae uliza swaliandiko
[emoji23]Acha uongo nipo kwenye kamati ya sensa mzee hakuna kitu cha dodoso lao na hakuna sensa itakayo hesabiwa Usiku hao wanao lala mabarabarani huwa wanapatikana usiku tuu na si mchana so jaribu kuwa na majibu na kauli nzuri kwa mtu anae uliza swali
Hakika MkuuAcha uongo nipo kwenye kamati ya sensa mzee hakuna kitu cha dodoso lao na hakuna sensa itakayo hesabiwa Usiku hao wanao lala mabarabarani huwa wanapatikana usiku tuu na si mchana so jaribu kuwa na majibu na kauli nzuri kwa mtu anae uliza swali
Karani anaweza akatumia dakika ngapi kuhesabu kwa kaya moja??Hao wanaolala vibarazani wana dodoso lao!
Acha kukurupuka na hili andiko lako!
Wataalamu walishalijua hilo kabla!
Mimi nimepanga kwa makusudi kabisa sitahesabiwa. Nimeshidia sensa tatu lakini sijaona dhima ya sensa ikifanya kazi kwenye uhalisiaKiufupi sio hao tu kuna watu wengi wata miss sana ili zoezi
Ya kitongoji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Safi sana mkuuMimi nimepanga kwa makusudi kabisa sitahesabiwa. Nimeshidia sensa tatu lakini sijaona dhima ya sensa ikifanya kazi kwenye uhalisia